Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,786
Nchi Kizungu ( Kimagharibi) ikitokea binti/Mwanamke akabakwa, basi Jamii ya Wanaume wakristo huwa upande wa binti kumtetea na kusurubu wabakaji, kwetu Wanaume humshambulia aliyebakwa ( kama siyo binti yake of course) kwamba huyo binti ni Malaya na alistahili, hata Mimba Mwanaume mkristo Muzungu anaona ni jukumu la aliyempa mimba wakati kwetu mtoto wa kike anashambuliwa, aliyempa mimba anaitwa rijali, ...