Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,321
- 11,410
Nimekaa nikaangalia kizazi hiki cha 90s na kizazi chetu za 70s kushuka chini nimeona kuna tofauti kubwa sana na nimesikitika sana.
1. kuna mwaka flan wanafunzi wa kiume wa mabweni yaliyoko kigamboni waliandamana na mabango wakiitaka serikali iwasadie na wapewe ulinzi sababu wanabakwa na wavuvi huko mwabwenini mwao. nlipoikia hivi nilisikitika sana kuwa wanafunzi wa IFM na vyuo vingine wanaoishi huko Kigamboni wanataka serikali iwasaidie wasiwe wanabakwa....WANAUME WANAANDAMANA KUPINGA KUBAKWA???????????????? MIAKA YETU hili jambo ilikuwa ngmu kusikia kwa sababu huyo mbakaji angekutwa ametengenishwa viungo vyote mwilini vimesambazwa chini kila kiungo sehemu yake
2. juz juz hapa nimeshangaa jamaa anaenda polisi kuomba wamsaidie kuwa mkewe anagongwa. tena kaenda na mkewe kushtaki kuwa kuna lijamaa linamla mke wake linavyotaka n.k akasindikizwa na mkewe ili kushtaki.polisi walikuja kusikitika sana kuwa wanafikia hatua wanadumazwa sana. kisa jamaa anawekwa mjini na huyo dada ambaye anapata pesa kwa wanaume n.k so jamaa inabidi awe mpole sometime ana mdrive mkewe kumpeleka kwa wanaume.amekuwa tu kama shoga ake. MIAKA YA KWETU huyo mwanamke tungemwacha na kuvuta mtoto mwingine mbiichi kigoli kabisa
3. miaka ya sasa wanaume walalamishi kwa kila kitu na wanajikuta tu wnalishwa na kunyweshwa mambo ya ajabu ajabu wakiambiwa yanaongeza nguvu za kiume....zaman tulikuwa tunahangaika namna ya kuzipunguza na ndo maana tulikuwa tunaoa mabint wakali hata 20 na tunawagongelea msumali hasa....
haya ni baadhi ya mambo ambayo nimeyaona yna tofau sana kati ya kizazi chetu cha slash na kizazi hiki cha dot com.
1. kuna mwaka flan wanafunzi wa kiume wa mabweni yaliyoko kigamboni waliandamana na mabango wakiitaka serikali iwasadie na wapewe ulinzi sababu wanabakwa na wavuvi huko mwabwenini mwao. nlipoikia hivi nilisikitika sana kuwa wanafunzi wa IFM na vyuo vingine wanaoishi huko Kigamboni wanataka serikali iwasaidie wasiwe wanabakwa....WANAUME WANAANDAMANA KUPINGA KUBAKWA???????????????? MIAKA YETU hili jambo ilikuwa ngmu kusikia kwa sababu huyo mbakaji angekutwa ametengenishwa viungo vyote mwilini vimesambazwa chini kila kiungo sehemu yake
2. juz juz hapa nimeshangaa jamaa anaenda polisi kuomba wamsaidie kuwa mkewe anagongwa. tena kaenda na mkewe kushtaki kuwa kuna lijamaa linamla mke wake linavyotaka n.k akasindikizwa na mkewe ili kushtaki.polisi walikuja kusikitika sana kuwa wanafikia hatua wanadumazwa sana. kisa jamaa anawekwa mjini na huyo dada ambaye anapata pesa kwa wanaume n.k so jamaa inabidi awe mpole sometime ana mdrive mkewe kumpeleka kwa wanaume.amekuwa tu kama shoga ake. MIAKA YA KWETU huyo mwanamke tungemwacha na kuvuta mtoto mwingine mbiichi kigoli kabisa
3. miaka ya sasa wanaume walalamishi kwa kila kitu na wanajikuta tu wnalishwa na kunyweshwa mambo ya ajabu ajabu wakiambiwa yanaongeza nguvu za kiume....zaman tulikuwa tunahangaika namna ya kuzipunguza na ndo maana tulikuwa tunaoa mabint wakali hata 20 na tunawagongelea msumali hasa....
haya ni baadhi ya mambo ambayo nimeyaona yna tofau sana kati ya kizazi chetu cha slash na kizazi hiki cha dot com.