Ngoshwe, ungepata mtaalamu akaiweka kibongobongo zaidi ingekuwa taaamu kweli!...kati ya wasichana hao lazima kungekuwa na parameter ya wowowo....piga ua!
wacha wee huwa mara kibao naona ladies wakipisha au kituoni kwa daladala wanavyoangaliana kuanzia kwenye kucha hadi utosini, akitoka hapo lazima akatafute alichovaa mwenzie, kile alichovaa yeye sasa anakuwa haamini km ni kizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.