Tofauti kati yetu...

ngoshwe

JF-Expert Member
Mar 31, 2009
4,131
925
Hii ndo tofauti ya mawasiliano yaliyopo pale tukutanapo katika maisha ya kila siku!!!....

attachment.php
 

Attachments

  • unspoken-communication.jpg
    unspoken-communication.jpg
    97.3 KB · Views: 215
Ngoshwe, ungepata mtaalamu akaiweka kibongobongo zaidi ingekuwa taaamu kweli!...kati ya wasichana hao lazima kungekuwa na parameter ya wowowo....piga ua!
 
wacha wee huwa mara kibao naona ladies wakipisha au kituoni kwa daladala wanavyoangaliana kuanzia kwenye kucha hadi utosini, akitoka hapo lazima akatafute alichovaa mwenzie, kile alichovaa yeye sasa anakuwa haamini km ni kizuri
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom