Tofauti kati ya wabunge wa CHADEMA na CCM

nyamakonge

JF-Expert Member
May 28, 2013
363
130
Ndugu wanajamvi nachukua fursa hii kumshukuru MUNGU kwa neema na rehema zake kwetu.

Leo napenda kutoa tofauti kubwa moja inayojidhihirisha kati ya wabunge wa pande hizi mbili.

Naanza na wabunge wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla wake,

Wabunge hawa wamejipambanua zaidi katika kutetea na kuhoji maslahi ya kitaifa,,hii ni kwa sababu ya upeo na kampani waliyonayo.Mfano huwezi kukaa na John Mnyika au Tundu Lissu ukakosa kushindwa kujenga hoja.

Sijui kama kuna mafunzo wanayopewa yanayowajengea uwezo zaidi wa kuongea.

wabunge wa CCM wao wamejikita katika mambo ya kawaida yasiokuwa ya kitaifa.Mfano mbunge anaongelea swala la friji eti ni kigezo cha maendeleo.

Wabunge wengi wa CCM licha ya kutokuwa na elimu pia hawana social exposure ya kuweza kudadavua mambo.

Huwezi kuwa mbunge ukashindwa kujenga hoja kwa mambo ya kitaifa badala yake uongelee masuala ya kijimbo tu.Ndio maana inakuwa vigumu sana kuwaelewa wabunge wa upinzani wanapotoka nje, wanatetea masuala ya msingi ya kitaifa.

Sasa mtu unataka Mnyika na uelewa wake apongezee serikali kwa kuleta maendeleo Ubungo yenye gharama ya tsh milion mia wakati huo huo kuna zaidi ya tsh billioni kumi zmeibwa.

Huu ni upuuzi usiokuwa upuuzi mtupu.
 
Idadi kubwa ya wabunge waliokimbia shule wanapatikana CHADEMA. Ndio maana inapokuja mijadala migumu kama hii ya NISHATI na MADINI wanakimbia Bunge.
 
Ndugu wanajamvi nachukua fursa hii kumshukuru MUNGU kwa neema na rehema zake kwetu.

Leo napenda kutoa tofauti kubwa moja inayojidhihirisha kati ya wabunge wa pande hizi mbili.

Naanza na wabunge wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla wake,

Wabunge hawa wamejipambanua zaidi katika kutetea na kuhoji maslahi ya kitaifa,,hii ni kwa sababu ya upeo na kampani waliyonayo.Mfano huwezi kukaa na John Mnyika au Tundu Lissu ukakosa kushindwa kujenga hoja.

Sijui kama kuna mafunzo wanayopewa yanayowajengea uwezo zaidi wa kuongea.

wabunge wa CCM wao wamejikita katika mambo ya kawaida yasiokuwa ya kitaifa.Mfano mbunge anaongelea swala la friji eti ni kigezo cha maendeleo.

Wabunge wengi wa CCM licha ya kutokuwa na elimu pia hawana social exposure ya kuweza kudadavua mambo.

Huwezi kuwa mbunge ukashindwa kujenga hoja kwa mambo ya kitaifa badala yake uongelee masuala ya kijimbo tu.Ndio maana inakuwa vigumu sana kuwaelewa wabunge wa upinzani wanapotoka nje, wanatetea masuala ya msingi ya kitaifa.

Sasa mtu unataka Mnyika na uelewa wake apongezee serikali kwa kuleta maendeleo Ubungo yenye gharama ya tsh milion mia wakati huo huo kuna zaidi ya tsh billioni kumi zmeibwa.

Huu ni upuuzi usiokuwa upuuzi mtupu.

Nadhani kwa maneno rahisi ni kuwa wapinzani hawahitaji nguvu nyingi wala ujuzi mkubwa kuelezea hoja zao kwani ni za kweli, za wazi na zinalenga maslahi ya wazi ya taifa. Ukienda upande wa CCM mambo yao yanalenga kutetea uhalifu, ufisadi, wizi na manufaa binafsi. hoja za aina hii hata kuzijenge haiwezekani kwa kuwa zinaonekana ni za kishetani na hata kuzitetea ni aibu. Inabidi tu waamue kusema "tunafanya hivi mnaafiki"? halafu walishaambiana wajibu "nyooooooooooooooooooo"! kwa sababu hiyo ndiyo njia pekee iliyobaki. Lakini inapokuja wanazidiwa na hoja, kwa kua wazi wapinzani ni waungwana na wastaarabu hawatavumilia upuuzi na matusi, utasikia majitu mazima yanaongea matusi ambayo hata sijui wanatazaman vipi na watoto wao wakirudi nyumbani! Labda hawana TV makwao au na watoto na wake zao ndiyo hivyo tena!
 
Idadi kubwa ya wabunge waliokimbia shule wanapatikana CHADEMA. Ndio maana inapokuja mijadala migumu kama hii ya NISHATI na MADINI wanakimbia Bunge.
sasa kati ya wabunge hawa wa ccm lameck airo std seven,maji marefu ngonyani std seven, hussein amar kasu std seven,na mnyika asiekua na degree lkn amefaulu ngazi zote za sekondari nani anaweza kujadili hoja nzito za kitaifa
 
Idadi kubwa ya wabunge waliokimbia shule wanapatikana CHADEMA. Ndio maana inapokuja mijadala migumu kama hii ya NISHATI na MADINI wanakimbia Bunge.

Kweli kabisa na wabunge walio soma kutoka ccm wana jua kuficha ufisadi na kuutetea kwa nguvu zote.kweli ccm inawasomi aosee!
 
Yani hilo halina ubishi kabisa, na kuhusu swala la kutoka ktk ukumbi wa bunge niuamuzi wa busara kuliko kubaki halafu kutwangana makonde maana kwa hoja za kipuuzi za ccm na uongozi m bovu wa spika unaweza kumpelekea kumtwanga mtu makonde
 
Ndugu wanajamvi nachukua fursa hii kumshukuru MUNGU kwa neema na rehema zake kwetu.

Leo napenda kutoa tofauti kubwa moja inayojidhihirisha kati ya wabunge wa pande hizi mbili.

Naanza na wabunge wa CHADEMA na upinzani kwa ujumla wake,

Wabunge hawa wamejipambanua zaidi katika kutetea na kuhoji maslahi ya kitaifa,,hii ni kwa sababu ya upeo na kampani waliyonayo.Mfano huwezi kukaa na John Mnyika au Tundu Lissu ukakosa kushindwa kujenga hoja.

Sijui kama kuna mafunzo wanayopewa yanayowajengea uwezo zaidi wa kuongea.

wabunge wa CCM wao wamejikita katika mambo ya kawaida yasiokuwa ya kitaifa.Mfano mbunge anaongelea swala la friji eti ni kigezo cha maendeleo.

Wabunge wengi wa CCM licha ya kutokuwa na elimu pia hawana social exposure ya kuweza kudadavua mambo.

Huwezi kuwa mbunge ukashindwa kujenga hoja kwa mambo ya kitaifa badala yake uongelee masuala ya kijimbo tu.Ndio maana inakuwa vigumu sana kuwaelewa wabunge wa upinzani wanapotoka nje, wanatetea masuala ya msingi ya kitaifa.

Sasa mtu unataka Mnyika na uelewa wake apongezee serikali kwa kuleta maendeleo Ubungo yenye gharama ya tsh milion mia wakati huo huo kuna zaidi ya tsh billioni kumi zmeibwa.

Huu ni upuuzi usiokuwa upuuzi mtupu.

chagadema kwishney bhana, hakuna kitu kinaitwa chadema ila Mnyika na Zito ndo wapo.
 
Back
Top Bottom