Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
<br />kaka umekariri mpaka uone engineering au???maana niko sahihi kabisa zote ni engineering au we unaijua ipi???
<br />kaka umekariri mpaka uone engineering au???maana niko sahihi kabisa zote ni engineering au we unaijua ipi???
kwanza kuna kozi zifuatazo;
1)Bsc in Electronic Science and Communication-Udsm.
2)Bsc in Telecommunication Engineering-Udsm/udom.
3)B.E in Electronic Engineering and Communication -Saint Joseph.
4)B.E in Electronics and Telecommunication Engineering-DIT.
kiujumla kozi namba 1 ndiyo iko tofauti kwa kiwango fulani na hizo zingine ila hizo zingine kiujumla wake hizo sawa..utofauti ni "Course Content" tu..ila kwa Industry ya Bongo ilivyo mwisho wa siku wote mnafanya kazi moja tu.hiyo usitishike au kujiona mbabe kwa kuwa unasoma kozi fulani kati ya hizo.
hivi jamani
Mtu akigraduate pale st.joseph anaweza
Kupata scholarship nchi za nje kama uingereza au marekani?
hivi jamani
Mtu akigraduate pale st.joseph anaweza
Kupata scholarship nchi za nje kama uingereza au marekani?