NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,002
Alafu kuna watu wana roho za umasikini tu,hata afanye kazi 24 hrs anatoka bilabila.Hahhaha M5 za mello ni jukwa lingine siyo hili mkuu
Alafu kuna wenye neema zao mambo yanafunguka kila kukicha,hatumii nguvu wala muda mwingi kila anachofanya mambo mukide.