ankai
JF-Expert Member
- Nov 25, 2017
- 3,280
- 4,236
Si tofauti ya viwanda vilivyotengenezwa izi gari,. nauliza tofauti za kiutendaji, technicaly and mechnicaly mfano engine inayokunywa mafuta zaidi, yenye kasi zaidi, ipi ambayo iko salama zaidi iwapo kwenye mwendo, uimara wa body na imbayo iko comfortable zaidi ukiwa ndani, pia na mengine ambayo nyie mnayajua kama tofauti kati ya izi gari mbili?