Eghorohe
JF-Expert Member
- Aug 29, 2011
- 220
- 78
Nimekuwa nikisoma post za watu mbalimbali humu jamvini, wanaandika neno mungu (god) wakimaanisha Mungu (God). Tafadhalini sana tuelimishane juu ya hili usianze jina la Mwenyezi Mungu kwa herufi ndogo hata kidogo kwa kufanya hivyo unamwabudu shetani anayeitwa mungu (god) kwa wingi miungu.