Kwa hiyo nitarajie goigle itaniambia marehemu is a person who died died only?Marehemu ni mtu yeyote aliyekufa kufa tu na hayati ni mtu aliyekufa huku ameacha legacy nzuri kwa jamii yake!
Hahaha..Marehemu ni mtu yeyote aliyekufa kufa tu na hayati ni mtu aliyekufa huku ameacha legacy nzuri kwa jamii yake!
Lakini mfu mmoja anacheo kikubwaPamoja na hayo,wote marehemu na hayati ni wafu.
CheeLakini mfu mmoja anacheo kikubwa
Nime ku miss kinoma yaniChee
Kweli?Nime ku miss kinoma yani
Ndiyo kweliKweli?
Ahsante saaaanaNdiyo kweli
Hayati ni neno la kiarabu manaake ni maisha/life. Inawezekana tumeliokota kutoka huko na kulitumia ndo mana hata Google translate inapata wakati mgumu kulitafsiri. nafikiri neno sahihi ni marehemu.nimetoka kumuuliza google transilate
marehem kasema kwa kizungu ni late
kwahiyo baba wa taifa ni late JKN sijua kwanini tumuite hayati na asiitwe marehemu..
kwa neno hayati google transilate bado anatafuta majibu....
Kufa n Kufa tu hata ufe ukiwa Rais wa Dunia umekufa tu ukiitwa hayati haikupi tiketi ya kuiona pepoMarehemu ni mtu yeyote aliyekufa kufa tu na hayati ni mtu aliyekufa huku ameacha legacy nzuri kwa jamii yake!
Hayati ni mfu aliyekuwa na pesa, lakini marehemu ni mfu chokambaya.Kwa muda mrefu sana nilikua nikisikia toka kwa ndugu na watu wengine wakimuita merehemu mtu alie kufa siku nyingi zilizopita.
Hivo ilinijengea mimi pia mazoea ya kumuita marehemu, mtu alie kufa mda mrefu.
Pia nimekuwa nikisikia katika vyombo vya habari wakimuita hayati mtu ambae amekufa muda mrefu lakini akiwa na cheo fulani.
Kwa hivo katika fikra zangu zimeweza kufikiri kuwa huenda kuna makundi mawili ambalo kundi la kwanza ni la wale wasio na cheo chochote katika taifa ndio huitwa marehemu lakini pia kundi la pili ni la wale wenye vyeo katika taifa ndio huitwa hayati, sina uhakika na fikra zangu.
Kwahivo nimeona ni bora niilete huku mada ili niweze kupata uhakika wa tofauti kati ya marehemu na hayati.
JamiiForums great thinker.
Kwa Waislam wanaitwa Rahimahullah - WikipediaKwanini mitume Na manabii hawaitwi hayati Wala marehemu?