Ndugu kama kichwa hapo juu kilivyo jieleza, naomba munisaidie kuelewa tofauti ya mapigano/maandamano kwenye hizo nchi zote.
Na kwanini Libya imeshambuliwa na sio hizo zingine...
Asantenianda:
Libya na Ivory Coast hakuna tofauti. Ila Kuhusu Libya, Muungano ya nchi za Kiarabu uliomba UN Security Council iingilie kuokoa maisha ya watu. In fact, security council haikufnya move yoyote mpaka Arab league ilipoomba msaada. Kuhusu Ivory Coast, African Union imekataa kuomba msaada on the ground that watatatua huo mgogoro wao wenyewe. In fact they have failed, lakini hawataki kuomba msaada toka UN.
Libya na Ivory Coast hakuna tofauti. Ila Kuhusu Libya, Muungano ya nchi za Kiarabu uliomba UN Security Council iingilie kuokoa maisha ya watu. In fact, security council haikufnya move yoyote mpaka Arab league ilipoomba msaada. Kuhusu Ivory Coast, African Union imekataa kuomba msaada on the ground that watatatua huo mgogoro wao wenyewe. In fact they have failed, lakini hawataki kuomba msaada toka UN.
Hizi bloc sasa zinanichanganya!! Arab League na African Union, Libya iko kotekote mbona sasa AL ndio wanaomba UN? AU vipi? Unafiki mtupu. Mbona Amri Mousa anapiga mayowe?
AU hawakuomba. Amri Mousa anapiga mayowe but AU club imesema itatatua mgogoro. Matokea yake ndio watu wanaendelea kufa huko.
Wachache sana wenye akili timamu ya kuliona hilo... wengi wamesahau kwamba Libya ni nchi iliyonyanyua kwa kiasi kikubwa uchumi wa Afrika, hususan SA na Uganda.. nafasi zilizopatikana kwa Tanzania hazikutumika ipasavyo bali watu waliitumia Libya kama kigezo cha kupata misaada ya kujengea misikiti midogomidogo na mkubwa wa Dodoma na ule wa Butiama lakini hebu nendeni Rwanda, Uganda, SA mkatazame nini kimefanyika kutokana na usaidizi wa Libya... Walichosahau watanzania kupata msaada kutoka kwa Gaddaf ni kujenga hoteli za kitalii na lodge! Maana wakati wenzetu wamejenga shule na vyuo vikubwa sisi.........Tatizo ni rasilimali na utajiri wa Libya ambapo Ghaddaffi hakuingilika kirahisi na wakubwa wa magharibi.
Saudia pale ni base kubwa ya USA.
Israel hao ni wateule WANALINDWA na wakubwa wote, ikumbukwe waisrael ni mithili ya wao ndio wanaoiongoza dunia kwa nyanja nyingi ndio maana hawaingiliwi hata na UN.
Palestine ni threats wa taifa teule la Israel, hawa hawana sauti wala umuhimu kwa wakubwa.
Ivory Coast ingalikuwa kama DRC...mara moja wangevamiwa na kukombolewa.
Yemen haina utajiri mkubwa na itakuwa ni hasara kubwa kwa WAKUBWA kupeleka vikosi huko na uchumi wa nchi zao utadorora na kuleta mtikisiko wa kiuchumi duniani.
Wanaokufa ni WAAFRIKA, na wale waandamanaji (rebels) ndio inabidi walindwe!! wale wasio na silaha wa-YEMEN na BAHRAIN wafe wamalizike!!! Hiyo ndio HURUMA ya WAKUBWA WANAOTAWALA DUNIA!AU hawakuomba. Amri Mousa anapiga mayowe but AU club imesema itatatua mgogoro. Matokea yake ndio watu wanaendelea kufa huko.
Wanaokufa ni WAAFRIKA, na wale waandamanaji (rebels) ndio inabidi walindwe!! wale wasio na silaha wa-YEMEN na BAHRAIN wafe wamalizike!!! Hiyo ndio HURUMA ya WAKUBWA WANAOTAWALA DUNIA!
Siku nikiwa Rais wa Tanzania, Nitahakikisha nakuwa na silaha bora kabisa kama Korea kaskazini, kama ni tabu na mashaka tulishazizoea ili wakija wajue nao hawatoki patupu kwenye UKOLONI WA KISASA NA UKIBARAKA
Libya na Ivory Coast hakuna tofauti. Ila Kuhusu Libya, Muungano ya nchi za Kiarabu uliomba UN Security Council iingilie kuokoa maisha ya watu. In fact, security council haikufnya move yoyote mpaka Arab league ilipoomba msaada. Kuhusu Ivory Coast, African Union imekataa kuomba msaada on the ground that watatatua huo mgogoro wao wenyewe. In fact they have failed, lakini hawataki kuomba msaada toka UN.
...ndio maana nasema "nikiwa rais wa Tanzania nitahakiksha nalimbikiza na kuunda silaha hatari kwa ajili ya kulinda nchi! la sivyo tutachezewa na wakoloni mpaka kiama kitakapofika!!"Na pia ujilize kwanini Amerika/UK waliivamia na kuivuruga Iraq (former middleastern haven), pamoja na Saddam repeatedly kusema hana silaha za WMD na ikaja kuwa kweli. Na kwanini isiivamie North Korea inayokiri kuwa nazo na hata kusema wana nuclear misile ya kuweza fika California na badala yake kuiomba China na Urusi imediate "talks"?
Wanaokufa ni WAAFRIKA, na wale waandamanaji (rebels) ndio inabidi walindwe!! wale wasio na silaha wa-YEMEN na BAHRAIN wafe wamalizike!!! Hiyo ndio HURUMA ya WAKUBWA WANAOTAWALA DUNIA!
Siku nikiwa Rais wa Tanzania, Nitahakikisha nakuwa na silaha bora kabisa kama Korea kaskazini, kama ni tabu na mashaka tulishazizoea ili wakija wajue nao hawatoki patupu kwenye UKOLONI WA KISASA NA UKIBARAKA