mkadiriajimajenzi
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 549
- 608
Watu wengi wamekua wakidhani kwamba maneno haya mawili yana maana iliyo sawa,la hasha,
Kujifungua - Ni kitendo cha mwanamke kumtoa mtoto ndani ya tumbo lake ambapo mimba ya mtoto huyo ilitungwa wakati mwanamke huyo yuko ndani ya ndoa (ameolewa)
Kuzaa - Ni kitendo cha mwanamke kumtoa mtoto ndani ya tumbo lake ambapo mimba ya mtoto huyo ilitungwa wajati mwanamke bado hajaolewa.Neno hili hutumika sana kwa wanyama maana wao huwa hawaoani kama binadamu.
Dedicated to Wanaoolewer na Mimber
Kujifungua - Ni kitendo cha mwanamke kumtoa mtoto ndani ya tumbo lake ambapo mimba ya mtoto huyo ilitungwa wakati mwanamke huyo yuko ndani ya ndoa (ameolewa)
Kuzaa - Ni kitendo cha mwanamke kumtoa mtoto ndani ya tumbo lake ambapo mimba ya mtoto huyo ilitungwa wajati mwanamke bado hajaolewa.Neno hili hutumika sana kwa wanyama maana wao huwa hawaoani kama binadamu.
Dedicated to Wanaoolewer na Mimber