Tofauti kati ya Kibiti na Shambulio dhidi ya Lissu

jmushi1

Platinum Member
Nov 2, 2007
24,987
22,515
wanajamvi,

Nafahamu kuna tofauti kubwa tu kati ya mauwaji ya Kibiti na shambulizi dhidi uhai wa Lissu.

Nimeshangazwa sana na wale wanaojaribu kufananisha haya matukio mawili. Wengine waki justify kuzuiliwa kwa michango ya damu na maombi kutokana na Kibiti. Wakiuliza kwanini hayo hayakufanyika wakati wa mauwaji yale.

Kwanza kabisa kuna utofauti mkubwa sana. Kwanza waliouwawa Kibiti hawakuwa wasaliti machoni mwa serikali. Serikali ilifanya kila jitihada kuwalinda wana wanakibiti pamoja na askari waliokuwepo kwenye doria maeneo hayo. Hata mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na Amiri jeshi mkuu mwenyewe walenda huko.

Pia kulikuwepo na sintofahamu nyingi kuhusiana na Kibiti. Wengine wakifikiri ni ugaidi na wengine wakifikiri tofauti kutokana na ujumbe uliotolewa na washambuliaji hao kuwa sababu kubwa ni uonevu wa polisi dhidi ya raia.

Kwahiyo kwa upande mwingine, ilikuwa ni kama vita dhidi ya vyombo vya usalama. Na ndiyo maana wakuu wake wote walienda huko.

Nimejiuliza, kama ilivyo kwenye vita, hii vita ya Kibiti, wale watu wa serikali na askari walipouwawa kwenye vita hiyo, inamaana kwamba kiongozi wa kisiasa ambaye huongoza wananchi wa kawaida, akipatwa na madhara, wananchi wasisikitike kwasababu kuna askari wamekufa vitani, this time Kibiti?

Mbona hawashangazwi na the fact kwamba kama ni vita,vyombo vyote vya usalama ni bora wafe wote kabla ya kiongozi mkuu wa nchi? Je kama ni vita, mkuu wa nchi akipatwa na madhara, basi tusisikitike kwasababu maelfu ya wanajeshi na wananchi wamepoteza maisha?

Pia the fact kwamba Lissu ni national and international figure, ambaye msaada wake ni mkubwa kwa watu wengi zaidi ya wale wa Kibiti na eneo kubwa zaidi ya lile?

Duhumuni langu hapa ni tujadili hili jambo. Kwasababu, kwasasahivi ndo kigezo kikubwa kinachotumika cha kuweka vizingiti dhidi ya Lissu.

Karibuni...
 
Hatuwezi kuwazalau watu waliofikwa na maafa kibiti eti kwa kuwa wale sio national wala international figure. Linapokuja swala la kifo inakuwa binadamu wote ni sawa. Maumivu ya watu waliofiwa kibiti ni makubwa sana. Mnawazalau watu wa kibiti kwa kuwa wale hawakuwa na michango ya kuwaingizia fedha
 
Hatuwezi kuwazalau watu waliofikwa na maafa kibiti eti kwa kuwa wale sio national wala international figure. Linapokuja swala la kifo inakuwa binadamu wote ni sawa. Maumivu ya watu waliofiwa kibiti ni makubwa sana. Mnawazalau watu wa kibiti kwa kuwa wale hawakuwa na michango ya kuwaingizia fedha
Kwahiyo kuliko wanajeshi milioni moja wafe ni bora afe rais? Akili ya wapi hiyo. Soma vyema bandiko utaelewa
 
Mkuu umezunguka zunguka sana. Ukweli ni kuwa:
Waliokuwa wakiuwawa kibiti ni WanaCCm. Wauwaji walikamatwa na kuuwawa.

Wanaowashambulia Wanachadema ni Watu "wasiojulikana".

Ila hawa watu wasiojulikana Tunawajua na kilasiku wanatoa kauli za kutujaza asira tu. Ila ipo siku one day yes.
 
Mkuu umezunguka zunguka sana. Ukweli ni kuwa:
Waliokuwa wakiuwawa kibiti ni WanaCCm. Wauwaji walikamatwa na kuuwawa.

Wanaowashambulia Wanachadema ni Watu "wasiojulikana".

Ila hawa watu wasiojulikana Tunawajua na kilasiku wanatoa kauli za kutujaza asira tu. Ila ipo siku one day yes.
Mkuu pengine hujaelewa maudhui ya thread. Je unadhani ni kosa wananchi kuonekana wamesikitika zaidi kuhusu Lissu badala ya kufanya hivyo kuhusu wana Kibiti?
 
Hatuwezi kuwazalau watu waliofikwa na maafa kibiti eti kwa kuwa wale sio national wala international figure. Linapokuja swala la kifo inakuwa binadamu wote ni sawa. Maumivu ya watu waliofiwa kibiti ni makubwa sana. Mnawazalau watu wa kibiti kwa kuwa wale hawakuwa na michango ya kuwaingizia fedha
Well said, ila umemalizia vibaya. Nani amewadharau watu wa Kibiti?
 
wanajamvi,

Nafahamu kuna tofauti kubwa tu kati ya mauwaji ya Kibiti na shambulizi dhidi uhai wa Lissu.

Nimeshangazwa sana na wale wanaojaribu kufananisha haya matukio mawili. Wengine waki justify kuzuiliwa kwa michango ya damu na maombi kutokana na Kibiti. Wakiuliza kwanini hayo hayakufanyika wakati wa mauwaji yale.

Kwanza kabisa kuna utofauti mkubwa sana. Kwanza waliouwawa Kibiti hawakuwa wasaliti machoni mwa serikali. Serikali ilifanya kila jitihada kuwalinda wana wanakibiti pamoja na askari waliokuwepo kwenye doria maeneo hayo. Hata mkuu wa jeshi, mkuu wa polisi na Amiri jeshi mkuu mwenyewe walenda huko.

Pia kulikuwepo na sintofahamu nyingi kuhusiana na Kibiti. Wengine wakifikiri ni ugaidi na wengine wakifikiri tofauti kutokana na ujumbe uliotolewa na washambuliaji hao kuwa sababu kubwa ni uonevu wa polisi dhidi ya raia.

Kwahiyo kwa upande mwingine, ilikuwa ni kama vita dhidi ya vyombo vya usalama. Na ndiyo maana wakuu wake wote walienda huko.

Nimejiuliza, kama ilivyo kwenye vita, hii vita ya Kibiti, wale watu wa serikali na askari walipouwawa kwenye vita hiyo, inamaana kwamba kiongozi wa kisiasa ambaye huongoza wananchi wa kawaida, akipatwa na madhara, wananchi wasisikitike kwasababu kuna askari wamekufa vitani, this time Kibiti?

Mbona hawashangazwi na the fact kwamba kama ni vita,vyombo vyote vya usalama ni bora wafe wote kabla ya kiongozi mkuu wa nchi? Je kama ni vita, mkuu wa nchi akipatwa na madhara, basi tusisikitike kwasababu maelfu ya wanajeshi na wananchi wamepoteza maisha?

Pia the fact kwamba Lissu ni national and international figure, ambaye msaada wake ni mkubwa kwa watu wengi zaidi ya wale wa Kibiti na eneo kubwa zaidi ya lile?

Duhumuni langu hapa ni tujadili hili jambo. Kwasababu, kwasasahivi ndo kigezo kikubwa kinachotumika cha kuweka vizingiti dhidi ya Lissu.

Karibuni...
They are Running out of ideas, Running a away From Problems is a Race You will Never Win
 
Kwaiyo akiwa sijui national au international figure anatakiwa awe treated kama malaika au tofauti na wewe?

Na ukisema international figure una maana gani, Bangladesh wanamtambua uyo Lissu wako?
 
Kwaiyo akiwa sijui national au international figure anatakiwa awe treated kama malaika au tofauti na wewe?

Na ukisema international figure una maana gani, Bangladesh wanamtambua uyo Lissu wako?
Kwani ni lazima utambulike na Bangladesh kuwa international?

Kwahiyo kuruhusu aombewe ama achangiwe damu, ama watu wanaposononeshwa kwa jaribio hilo la mauwaji , ama pia kutaka wauwaji hao wapatikane ndiyo kumtreat kama malaika? Albadiri imekudhuru au kitu gani?
 
Hatuwezi kuwazalau watu waliofikwa na maafa kibiti eti kwa kuwa wale sio national wala international figure. Linapokuja swala la kifo inakuwa binadamu wote ni sawa. Maumivu ya watu waliofiwa kibiti ni makubwa sana. Mnawazalau watu wa kibiti kwa kuwa wale hawakuwa na michango ya kuwaingizia fedha
Umeipata concept?Read btwn the lines kwanza
 
Wabunge wa Upinzani walitoa hoja ya Bunge kujadili ishu ya Kibiti, wakakataliwa. Leo watu wamejitoa akili kulaumu laumu tu bila data
 
Wabunge wa Upinzani walitoa hoja ya Bunge kujadili ishu ya Kibiti, wakakataliwa. Leo watu wamejitoa akili kulaumu laumu tu bila data
Shida ya serikali hii, siasa zimeingizwa kila mahali, no wonder haya yanatokea. Kwa mfano CDF kuja na kuuliza eti ni kwanini wananchi wanasikitika zaidi kuhusu shambulizi dhidi ya uhai wa Lissu kuliko mauwaji ya Kibiti ilinishangaza sana!

Kwahiyo hata wengi humu wanafuatilizia. Ndo maana nimejiuliza kama haya siyo matukio ya tofauti na yenye taswira za tofauti machoni pa mwananchi wa kawaida?
 
Mkuu umezunguka zunguka sana. Ukweli ni kuwa:
Waliokuwa wakiuwawa kibiti ni WanaCCm. Wauwaji walikamatwa na kuuwawa.

Wanaowashambulia Wanachadema ni Watu "wasiojulikana".

Ila hawa watu wasiojulikana Tunawajua na kilasiku wanatoa kauli za kutujaza asira tu. Ila ipo siku one day yes.
Duh! Kaazi!
 
Wabunge wa Upinzani walitoa hoja ya Bunge kujadili ishu ya Kibiti, wakakataliwa. Leo watu wamejitoa akili kulaumu laumu tu bila data
Hivi ni kwanini? Au ni kwasababu ni ugaidi? Kama sikosei, serikali ya marekani imetulaumu kuhusu hili, kwamba hatutoi taarifa na wala ushirikiano. Sasa kama ni ugaidi shida ikowapi?

Nakumbuka kuna wakati walianza kuhusisha upinzani na kibiti.
 
WEWE JAMAA KIAZI KWELI UMEANDIKA UHARO
Kwahiyo kuzuia maombi kwa mtanzania mwenzetu ndiyo utu? Au ina maana yalikuwa ni mapenzi ya Mungu apigwe risasi na kuuwawa? Garbage kabisa wewe. Tena sewage pole!
 
Umesahau propaganda za awamu hii.
Leo hii ninapowaona kwenye madhabau na membari hao viongozi wakiongea kwa unyenyekevu na kumtaja Mungu! Wakati sababu walizozitoa za kuzuia maombi kwa Lissu, eti “Kwanini wale wa Kibiti waliouwawa hawajaombewa”, yani hii ni akili kweli? Hata next generation wakifukuwa haya makaburi, unadhani wanafikiria vipi kuhusu uwezo wetu wa kufikiri?
 
Back
Top Bottom