Tofauti kati ya biashara yenye registered business name na kampuni

mbuma

New Member
Sep 28, 2010
1
0
Kwa wenye uelewa na suala hili,naomba kujua tofauti kati ya biashara yenye registered business name na kampuni. Je unaweza kuwa na biashara yenye business name na baadae kuibadilisha na kuwa kampuni?Je biashara yenye business name unaweza kupata mkopo benki kupitia hiyo biashara?Kwa atakaye kuwa amenielewa vizuri naomba kufafanuliwa please.
 
Kuhusu mkopo unaweza kupata kinachoangaliwa ni licence na tin # ya biashara yako siyo lazima iwe full registered just kwa kutumia business licence na tin unaweza pata mkopo kwa bank kama stanbic bank
 
Kwa wenye uelewa na suala hili,naomba kujua tofauti kati ya biashara yenye registered business name na kampuni. Je unaweza kuwa na biashara yenye business name na baadae kuibadilisha na kuwa kampuni?Je biashara yenye business name unaweza kupata mkopo benki kupitia hiyo biashara?Kwa atakaye kuwa amenielewa vizuri naomba kufafanuliwa please.

Mkuu Katika kusajili unaweza fanya haya

1. Kusajili Business name pekee, yaani hapa unaenda brela na kusajili business name,

2. Na kuna kusajili kampuni full
unaweza tumia jina la biashara ulilosajili kusajilia kampuni, inawezekana,

- Kuhusu Mikopo, jibu ni yes, tena mikopo mingi wanataka uwe na jina la biashara lililo sajiliwa na si vinginevyo,
 
Kwa wenye uelewa na suala hili,naomba kujua tofauti kati ya biashara yenye registered business name na kampuni. Je unaweza kuwa na biashara yenye business name na baadae kuibadilisha na kuwa kampuni?Je biashara yenye business name unaweza kupata mkopo benki kupitia hiyo biashara?Kwa atakaye kuwa amenielewa vizuri naomba kufafanuliwa please.

ukitaka business name iwe Company Limited ,itakubidi ujaze form ya ku cease jina la biashara ni form no 7 kama sijakosea,kisha unawasalisha na original certificate of registrations, lakini ni muhimu ukaandika barua ya search kwanza upande wa Company Limited kuhusu jina hilo unalotaka kulifanya kama Limited ili kuepuka usumbufu ambao unaoweza jitokeza usipofanya hivyo, na kuhusu mkopo watu wanapata ,tena sana ,ilmradi uwe na sehemu unayofanyia biashara husika na si kuwa na business name ya mfukoni
 
Back
Top Bottom