Dit000
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 656
- 850
hivi leo, nikapata eneo kumba kama kiwanja cha mpira wa miguu, nikasanifu mchoro, the nikajenga jumba kumbwa say 30m kwa 50m, kwa ajili ya kuku, nikatia zangu kuku 40000, then nikawa naamka asubuh naenda shinda huko kuwahudumia hadi jioni then narudi nyumnani, kuku wakiwa wengi nawapunguza nawauzaa sasa hapo nitakuwa nimewekeza au? coz nawafuga katika mazingira kama ya nyumbani, na siitumii cha leseni ya biashara, wala cha tin numberBiashara na uwekezaji tofauti yake ni kiwango chako cha ushiriki katika shughuli husika.Unasema umewekeza pale ambapo umetoa mtaji pesa lakinihaushirikia kwa kiwango kikubwa katika uendeshaji na usimamizi wa shughuli za kibiashara.Ila iwapo unashiriki katika usimamizi na uendeshaji basi unakuwa unafanya biashara.
Hata hivyo hivi ni vitu vinavotegemeana kwani bila kuwekeza hakuna biashara na bila biashara hakuna uwekezaji.
yaaani kwa kifupi naitwa mfugaji, kama wamasai wanavyofuga ng'ombe, kwani na wenyewe wana leseni ya biashara au tin number?? si lakini na wao mifugo yao ikiongezeka si waga wanawauzaa tu, wanapata pesa?? kitendo cha kuwauza inakuwa biashara au?