Hapo kwenye colors ndo kwenye matatizo!Kiswahili ni kigumu,Ebu wana JF nifafanulie hivi mtu anayepaswa hasa kuitwa BABA Mkubwa ni kaka yake(kiumri) baba yako au baba mkubwa ni babu yako na je si kweli kwamba mtu ambaye ni mdogo au mkubwa wa Baba yako ndiye baba mdogo wako.