Sina tafsiri rasmi, zaidi ya jinsi ninavyoyaelewa.
Usharika ni neno nimelisikia zaidi kwa upande wa kidini, hasa mgawanyiko wa maeneo ya kanisa. Mfano, Kinondoni, kuna makanisa kadhaa labda Hananasif, Shamba. Sasa haya makanisa yatajulikana kama usharika. Ikitokea kuna mkusanyiko, watatofautishwa kwa kuwaita usharika wa Hananasif, usharika wa Kinondoni Shamba.
Ushirika ni umoja, muungano we aina fulani ili kutekeleza jambo/ lengo pamoja.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.