Today in history: The nuremberg trials

Tumechoka na story za Holocaust unajua Warusi wengi zaidi ya wayahudi walikufa kwenye vita vikuu vya pili lakini wamesahau na kuendelea na maisha yao lakini hawa kila mwaka wanataka tusisahau na hata hio figure ya 6million imebishiwa na wataalam wengi.
 
Tumechoka na story za Holocaust unajua Warusi wengi zaidi ya wayahudi walikufa kwenye vita vikuu vya pili lakini wamesahau na kuendelea na maisha yao lakini hawa kila mwaka wanataka tusisahau na hata hio figure ya 6million imebishiwa na wataalam wengi.

Nakubaliana na wewe, lakini kumbuka kwamba kama trial ya Nuremberg isingefanyika, basi leo tusingekuwa na genocide trials za Rwanda (Arusha), Cambodia au Sierra Leone. Kila kitu kina mabaya na mazuri yake.

Dunia bado ni uwanya wa fujo.
images
images
4fc433c487.jpg




 
Nakubaliana na wewe, lakini kumbuka kwamba kama trial ya Nuremberg isingefanyika, basi leo tusingekuwa na genocide trials za Rwanda (Arusha), Cambodia au Sierra Leone. Kila kitu kina mabaya na mazuri yake.

Sawa nimekuelewa lakini sioni mantiki ya kizee cha miaka 94 kukamatwa sasa na kushitakiwa eti alikuwa mlinzi wa concentration camp mwaka 1940,tufike mahala msamaha uchukue mkondo wake.
 
images
images
images
images




Well said Indeed, lakini nadhani wakati mwingine ni vizuri kufanya hivyo ili kutoa onyo kwa kichaa yoyote kwamba ukifanya unyama, basi ujuwe kwamba iko siku utalipwa kwa mabaya uliyoyafanya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom