Today in History: JK atangazwa Rais wa Tanzania

M

MegaPyne

Guest
Tarehe 20 December mwaka 2005. Jk alitangazwa kama Rais mpya wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

normal_kikwete_nec_5.jpg

Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi nchini (NEC) Jaji Lewis Makame, akitangaza matokea ya uchaguzi mkuu katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es Salaam, ambapo mgombea wa CCM, Jakaya Kikwete, (katikati) aliibuka mshindi.
(Picha na Athumani Hamisi)


normal_kikwete_nec_4.jpg


Rais Mteule wa Jamhuri ya Muungano, Jakaya Kikwete, akipunga mkono baada`ya kutangazwa kuwa mshindi katika uchaguzi mkuu jijini Dar es Salaam jana. Kulia ni mkewe, Mama Salma Kikwete.

 
Hongera ikufikiye JK!, bado nane! Tunakutegemea kuendeleza mageuzi na kuleta mageuzi kwa ari mpya , kasi mpya-kwa kasi mpya!

Dukuduku kwenye picha...Maafikirio yangu usiwe ndio ulitupungia bai bai na kutuacha, utupungie tena 2010!
Kidumu!
 
Kitendawili,

Tega,

Ari Mpya, Nguvu Mpya na Kasi Mpya!!

Jakaya Kikwete.........KOSA!!

JK...........KOSA!!

Msaniii.......Umepata!!!!!
 
Back
Top Bottom