1. zombi anapatikana baada ya kiumbe(kisichokuwa zombi) kuwa kimeuwawa na zombi mwingine, anafufuka na kuwa zombi, Vampire anapitaka pale kiumbe kisichokuwa vapire kinapo ng'atwa tu( siolazima ufe).
2. Zombi yanakula nyama wakati Vampire wanakunywa damu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.