Toa tofauti ya zombi na vampire

aaaaah yaan hiyo tofauti ni ndogo tu hapo zombi niyule anaye fanya sana maombi na vampire ni yule anaye onahaya. au co hapo c sawa wadau
 
1. zombi anapatikana baada ya kiumbe(kisichokuwa zombi) kuwa kimeuwawa na zombi mwingine, anafufuka na kuwa zombi, Vampire anapitaka pale kiumbe kisichokuwa vapire kinapo ng'atwa tu( siolazima ufe).
2. Zombi yanakula nyama wakati Vampire wanakunywa damu.
 
Back
Top Bottom