idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,305
Mseveni.... Mwenyekiti wa jumuiya amelala usingizi hana habari.
Magufuli....ambaye ndio mdau mkuu wa EAC kang'oa tairi...
Kagame....ambaye anaonekana yuko makini sana kuona mbele bila shaka kwa maslahi ya baadae. Anao wategemea Mseveni na Magufuli hawaeleweki.
Kurunzinza....ndio kabisa hana muda na jumuiya yeye anaunda utawala wake wa kifalme.
Kenyatta.....anajaribu kuokoa EAC isipotee zaidi ila kazidiwa anakaribia kuachia mkia.!