TRIPLE H
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 651
- 349
Kila mtanzania popote alipo anaye mbunge anayemwakilisha ndani ya bunge;awe amemchagua au la.Hata wewe mtanzania mwenzangu popote pale ulipo unaye mbunge anayekuwakilisha!
Je,unazo sababu za kwa nn aendelee kuwa mwakilishi wako? na je,ungetaka asichaguliwe tena ktk uchaguzi mkuu ujao? toa sababu.
ANGALIZO: Uruhusiwi kushambulia kwa matusi mbunge asiye wa jimbo lako kwa kuwa hakuhusu.
Je,unazo sababu za kwa nn aendelee kuwa mwakilishi wako? na je,ungetaka asichaguliwe tena ktk uchaguzi mkuu ujao? toa sababu.
ANGALIZO: Uruhusiwi kushambulia kwa matusi mbunge asiye wa jimbo lako kwa kuwa hakuhusu.