Hata kama unaamini mkeo ni wako na unamwamini sana mie najua huyo ni dada poa tu ila wewe hujui na ukitaka kujua utakubaliana na mimi kuwa walioolewa ni madada poa pia. Shauri zako!Mhhh...Mkuu...!!!
Mtu uliyeingia naye makubaliano na mkataba wa kuishi naye siku zote katika maisha yako unamwita dada poa?
Mtu anayekuzalia au atakayekuzalia watoto na awe mama wa watoto wako unamwita dada poa?
So ulioa dada poa?
Nimeuliza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app