Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 26,097
- 34,038
Mhhh...Mkuu...!!!
Mtu uliyeingia naye makubaliano na mkataba wa kuishi naye siku zote katika maisha yako unamwita dada poa?
Mtu anayekuzalia au atakayekuzalia watoto na awe mama wa watoto wako unamwita dada poa?
So ulioa dada poa?
Nimeuliza tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu uliyeingia naye makubaliano na mkataba wa kuishi naye siku zote katika maisha yako unamwita dada poa?
Mtu anayekuzalia au atakayekuzalia watoto na awe mama wa watoto wako unamwita dada poa?
So ulioa dada poa?
Nimeuliza tu.
Hata ninayemwita mke ni dada poa wa kimyakimya (siri). Hakuna asiye dada poa.
Sent using Jamii Forums mobile app