Mtu Mzima
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 394
- 124
Jk amekuwa akielezewa kama mtu asiyehusika na ufisadi na mikataba ya madini.Hata vyombo vya habari vilinukuliwa vikisema kuwa waziri wa nishati na madini alisaini mkataba mpya pasi na rais kufahamu.
Nini maoni yako?
Anahusika
Hahusiki moja kwa moja ila anatumiwa
Hahusiki
Sijui
Nini maoni yako?
Anahusika
Hahusiki moja kwa moja ila anatumiwa
Hahusiki
Sijui