Be blessed
Nawafahamu baadhi so ingekuwa vizuri tukapata CV na motivational letter zao(why wanagombea) ili tuwazungumzia vizuri.
Kwa kuanzia Silinde David naomba ajiondoe as yeye ni mbunge anayo sehemu nzuri ya kutuwakilisha na kutusemea so angeruhusu hiyo nafasi imdondokee underground mwingine ili kuongeza stock ya future viongozi wa CDM hence taifa
Nawafahamu baadhi so ingekuwa vizuri tukapata CV na motivational letter zao(why wanagombea) ili tuwazungumzia vizuri.
Kwa kuanzia Silinde David naomba ajiondoe as yeye ni mbunge anayo sehemu nzuri ya kutuwakilisha na kutusemea so angeruhusu hiyo nafasi imdondokee underground mwingine ili kuongeza stock ya future viongozi wa CDM hence taifa