Toa maoni kuhusu kilichoandikwa kwenye hii picha

palalisote

JF-Expert Member
Aug 4, 2010
8,335
1,455
425821240.jpg


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DkAli Mohamed Shein,na ujumbe wake wakiwa katika picha ya pamoja na Meya wa Manispaa ya Mji wa Xiamen nchini china Liu Keqing, na viongozi wengine wa Mji huo,baada ya mazungumzo yao katika ukumbi wa Concert Hall,alipoandaliwa Chakula cha Jioni , akiwa katika ziara ya kiserikali kwa mualiko wa Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China


Source: wavuti.com - Blog
 
Yaani kama angekuwa Kikwete, wangeandika president wa Bara, United Republic of Tanzania
 
Hamjamwona balozi wa Tanzania nchini China Philip Marmo naye amekula pozi?
 
Mpiga picha,ukipata nafasi nyingine ya kusogea karibu na huyo jamaa aliyekaa kushoto mwisho mkumbushe aje kulipa madeni yake aliyokopa 2010 chondechonde
 
Mpiga picha,ukipata nafasi nyingine ya kusogea karibu na huyo jamaa aliyekaa kushoto mwisho mkumbushe aje kulipa madeni yake aliyokopa 2010 chondechonde
Mkuu unamdai?


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
kwa ufupi, nikuwa rahisi wa Zanzibar kwa hadhi yake amepokewa na meya wa mji. kiongozi wa nchi hawezi kupokewa na kuandaliwa dhifa ya hadhi ya mji. Rais wa Zanzibar = meya wa mji.

Samahani kama nimeenda nje ya mada.
 
Naona utata wa jina ndiyo maana wanataka serikali yao. Wangetakiwa waandike Dr. Shein, president, URT, Zanzibar.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
Halafu mnasema Maalim analake jambo wakati wenyewe wanajua nini wanafanya. Mwisho wa siku hawa waZNZ wapewe tu mamlaka kamili yaishe.
 
Hii haiondoi ukweli kwamba Zanzibar ni kamkoa ka bara kama ilivyo mafia na hatutakaachia, kama wanajidanganya wajaribu kujitenga waone. Kudhibitisha hilo amepokewa na meya wa mji. Kwa hiyo hata "nchi" yake ina hadhi ya mji!
 
Hii haiondoi ukweli kwamba Zanzibar ni kamkoa ka bara kama ilivyo mafia na hatutakaachia, kama wanajidanganya wajaribu kujitenga waone. Kudhibitisha hilo amepokewa na meya wa mji. Kwa hiyo hata "nchi" yake ina hadhi ya mji!
You are off side. Hujajibu hoja y a mleta mada. Kujibu swali kabla ya kulielewa ndiko kunawafanya mfeli mtihani na hata baada ya kuchakachua marks watu kama nyie bado mmefeli. Soma hoja ya mleta mada acha kukurupuka.


Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums
 
sorry natoka nje ya mada, hivi dr shain wana watoto? mbona sijawahi kuwasikia? hawanaga mishemishe wao au bado wadogo?
 
Naona utata wa jina ndiyo maana wanataka serikali yao. Wangetakiwa waandike Dr. Shein, president, URT, Zanzibar.

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums

wachina wa watu wala ung'eng'e kwao sio ishu,kwanza hata wao wanashindwa kuelewa muungano wetu,nadhani utambulisho wao wameandika kwa lugha yao,sijui kwanini utambulisho wa shein haukuandikwa kiswahili? sasa na huyo meya sijui kampiga mzinga au kampelekea deal la uwekezaji?
 
duuuuuuuuuuuuuuh huyu mkewe shein mfupiiiiiiiiiiiiiii hajagusa chini miguu imeninginia sorry nipo njee ya mada

mkuu imebidi niipitie picha upya..nimechekaje mie,haujakosea hata kidogo.though uko nje ya mada.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom