Kwa nini JK anaongea kwa kusoma, hajiamini mpaka anaenda na desa
Kwi kwi kwi.
Umesahau takwimu anazotusomea jukwaani? Zote ziko pale, shule, vyumba vya madarasa, idadi ya vyandarua alivyogawa, zahanati tulizojenga n.k., the list is endless.
hahahaha wazimu mtupu walah/BO: vipi unawake wangapi sheikh wangu???
JK: Ofcourse, rijali lazima kila mkoa uache photo copy dogo!!