Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,597
Jamani nina quiz ndogo hapa kwenu GTs, hebu someni kwa makini cheti hiki na mniambie kama mnaona kasoro yoyote kwenye uchapaji wake.
nimefuta taarifa zingine ili kuhifadhi usiri wa mwenye cheti.
Good saturday.
Solution to the quiz:
Angalieni yale maneno yanayosema tabiya yake ni ya kuridhisha yamechapwa kwa mashine toka kwa mchapaji badala ya kuandikwa na mwalimu kwa mkono, ina maana kila aliyepata cheti hiki atasomeka kuwa na tabiya ya kuridhisha hata kama sio kweli.