To You Hon Zitto Kabwe, MP

kimatire

JF-Expert Member
Nov 27, 2008
371
93
Dear Hon. Zitto Kabwe MP

Could You Define Your Personal Leadership Vision?

Leadership vision is an essential means for focusing attention on what matters most; what you want to accomplish in your life and what kind of leader you wish to be. A useful vision has to be rooted in your past, address the future, and deal with today's realities. It represents who you are and what you stand for. It inspires you, and the people whose commitment you need, to act to make constructive change towards a future you all want to see.

Let's look a bit more closely at the four key components:

A compelling story of the future is engaging; it captures the heart, forces you to pay attention. Those who hear it want to be a part of it somehow. And they are moved.

What does your future look like Kabwe- what's the image? If others could travel into the future with you, what would they find? A well-crafted leadership vision is described in concrete terms that are easy to visualize and remember. WATCH OUT!!

The story of your future should be a stretch, but it must be achievable, too. If it were not achievable, you would have little motivation to even bother trying.

Finally, future simply means out there - some time from this moment forward, but not so far away that's it's out of reach MAN!. Wishing you the best of Lucky.

Regards

Kim- A - Tire
 
zitto again!
kila kukicha ZITTO

ZITTO ZITTO ZITTO

hey hey hey!.....
 
Zito Kabwe!!!!!!!!!!!! so tiring aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah come election bwana!!!!!!! wenye kula pilau wale, tshirts, khanga hyaaa!!! siku ya kupanga foleni sijui nani ataenda
 
zitto zitto zitto, too zito to handle politics. What a Hell!!!!
 
Zitto anataka kuwa kama Lamwai enzi akiwa NCCR, lakn bei yao ya kununuliwa ni ndogo! Ameshakuwa 'big headed'
 
Naamini dhambi kuu ya Zitto ni kukataa kufanya siasa kwa style mnayotaka ninyi ambayo mnadhani ndio suluhu la matatizo yenu ambayo ukweli ukiyaangalia sana hayana upeo mkubwa isipokuwa chuki zenu dhidi ya CCM tu.

Zitto anaangalia siasa zaidi ya kuiondoa CCM madarakani tu. Kwake yeye kitu cha kwanza na muhimu ni kujenga demokrasia makini ya vyama vingi ambayo itawezekana tu pale watanzania watakapoongozwa kuondoa ukiritimba wa CCM (Single party dominance). Cha pili ni kujenga misingi ya watanzania wote kutambua, kuamini na kuthamini utamaduni wa kidemokrasia ambao unachukulia tofauti za kifikira na kimisimamo kama mbolea na sio sumu ya maendeleo. Cha tatu kujenga Tanzania yenye nguvu kiuchumi na kijamii ambayo itawezesha kufanikisha umoja wa kiafrika ambao kwake anaamini kuwa ndio mkombozi mkuu wa madhila na changamoto tunazokutana nazo sasa kama taifa la dunia ya tatu.

omarilyas
 
Naamini dhambi kuu ya Zitto ni kukataa kufanya siasa kwa style mnayotaka ninyi ambayo mnadhani ndio suluhu la matatizo yenu ambayo ukweli ukiyaangalia sana hayana upeo mkubwa isipokuwa chuki zenu dhidi ya CCM tu.

Zitto anaangalia siasa zaidi ya kuiondoa CCM madarakani tu. Kwake yeye kitu cha kwanza na muhimu ni kujenga demokrasia makini ya vyama vingi ambayo itawezekana tu pale watanzania watakapoongozwa kuondoa ukiritimba wa CCM (Single party dominance). Cha pili ni kujenga misingi ya watanzania wote kutambua, kuamini na kuthamini utamaduni wa kidemokrasia ambao unachukulia tofauti za kifikira na kimisimamo kama mbolea na sio sumu ya maendeleo. Cha tatu kujenga Tanzania yenye nguvu kiuchumi na kijamii ambayo itawezesha kufanikisha umoja wa kiafrika ambao kwake anaamini kuwa ndio mkombozi mkuu wa madhila na changamoto tunazokutana nazo sasa kama taifa la dunia ya tatu.

omarilyas

- Maneno mazito sana mkuu!

Respect.


FMEs!
 
Code:
Naamini dhambi kuu ya Zitto ni kukataa kufanya siasa kwa style mnayotaka ninyi ambayo mnadhani ndio suluhu la matatizo yenu ambayo ukweli ukiyaangalia sana hayana upeo mkubwa isipokuwa chuki zenu dhidi ya CCM tu.

Zitto anaangalia siasa zaidi ya kuiondoa CCM madarakani tu. Kwake yeye kitu cha kwanza na muhimu ni kujenga demokrasia makini ya vyama vingi ambayo itawezekana tu pale watanzania watakapoongozwa kuondoa ukiritimba wa CCM (Single party dominance). Cha pili ni kujenga misingi ya watanzania wote kutambua, kuamini na kuthamini utamaduni wa kidemokrasia ambao unachukulia tofauti za kifikira na kimisimamo kama mbolea na sio sumu ya maendeleo. Cha tatu kujenga Tanzania yenye nguvu kiuchumi na kijamii ambayo itawezesha kufanikisha umoja wa kiafrika ambao kwake anaamini kuwa ndio mkombozi mkuu wa madhila na changamoto tunazokutana nazo sasa kama taifa la dunia ya tatu.

omarilyas
Code:

Unafiki haumalizwi kwa unafiki.....(Zitto ni mnafiki sana....)

Ngoma ikivuma sana matokeo yake ni kupasuka.....(Anguko la Zitto haliko mbali)

Ni kosa kubwa KUNYEA kambi.......(Ndicho anachofanya Zitto hivi sasa)

Media haiwezi kusolve internal problems within the political party.......(Zitto kwake ni raha akisikika anaandikwa na Mtanzania, Mwananchi, Uhuru, Rai...nk. Na ni faraja kwake kutumia vyombo hivyo pamoja na TBC +Mlimani TV kutukana Chama chake na Katibu wake kwa madai ya kurejesha Democracy Chamani)


Ni tatizo kubwa unapoleta utoto kwenye mambo ambayo unapaswa utulie.....(Zitto bado ni Mtoto na anapambana KITOTO)

TUMECHOSHWA NA HABARI ZA ZITTO
 
Unafiki haumalizwi kwa unafiki.....(Zitto ni mnafiki sana....)

Ngoma ikivuma sana matokeo yake ni kupasuka.....(Anguko la Zitto haliko mbali)

Ni kosa kubwa KUNYEA kambi.......(Ndicho anachofanya Zitto hivi sasa)

Media haiwezi kusolve internal problems within the political party.......(Zitto kwake ni raha akisikika anaandikwa na Mtanzania, Mwananchi, Uhuru, Rai...nk. Na ni faraja kwake kutumia vyombo hivyo pamoja na TBC +Mlimani TV kutukana Chama chake na Katibu wake kwa madai ya kurejesha Democracy Chamani)


Ni tatizo kubwa unapoleta utoto kwenye mambo ambayo unapaswa utulie.....(Zitto bado ni Mtoto na anapambana KITOTO)

TUMECHOSHWA NA HABARI ZA ZITTO

Kama umemaliza chukua kanga jitundike...Zitto ataendelea kuwepo na kamwe hatasujudia UNAZI wenu
 
Zitto anaangalia siasa zaidi ya kuiondoa CCM madarakani tu. Kwake yeye kitu cha kwanza na muhimu ni kujenga demokrasia makini ya vyama vingi ambayo itawezekana tu pale watanzania watakapoongozwa kuondoa ukiritimba wa CCM (Single party dominance). Cha pili ni kujenga misingi ya watanzania wote kutambua, kuamini na kuthamini utamaduni wa kidemokrasia ambao unachukulia tofauti za kifikira na kimisimamo kama mbolea na sio sumu ya maendeleo. Cha tatu kujenga Tanzania yenye nguvu kiuchumi na kijamii ambayo itawezesha kufanikisha umoja wa kiafrika ambao kwake anaamini kuwa ndio mkombozi mkuu wa madhila na changamoto tunazokutana nazo sasa kama taifa la dunia ya tatu.

omarilyas

Yote uliyoongea ni sahihi kabisa na kila mpenda maendeleo anataka iwe hivyo hata mimi, ila tatizo njia anayotaka kuitumia Zitto ndiyo ina matatizo, ni sahihi kwa nchi zilizojenga mapema demokrasia ya kweli lakini si hapa Tanzania, kwa njia anayotumia itamchukua karne nzima kutimiza matakwa yake na inawezekana asiyatimize, badala ya kuonekana hero sasa anaonekana msaliti, ni wachache sana kama wewe wanaoweza kuona hilo.

Sasa basi kama ni hivyo afanye nini aendelee kukatiza mto au afuate mkondo wa maji yanakoelekea au asivuke kabisa uchaguzi ni wake.
 
duuh viongozi wa chadema kaazi kwelikweli.Yaani huko kwenye chama chenu hapatoshi,mmeamua mje mlumbane JF sasa
 
Naamini dhambi kuu ya Zitto ni kukataa kufanya siasa kwa style mnayotaka ninyi ambayo mnadhani ndio suluhu la matatizo yenu ambayo ukweli ukiyaangalia sana hayana upeo mkubwa isipokuwa chuki zenu dhidi ya CCM tu.

Zitto anaangalia siasa zaidi ya kuiondoa CCM madarakani tu. Kwake yeye kitu cha kwanza na muhimu ni kujenga demokrasia makini ya vyama vingi ambayo itawezekana tu pale watanzania watakapoongozwa kuondoa ukiritimba wa CCM (Single party dominance). Cha pili ni kujenga misingi ya watanzania wote kutambua, kuamini na kuthamini utamaduni wa kidemokrasia ambao unachukulia tofauti za kifikira na kimisimamo kama mbolea na sio sumu ya maendeleo. Cha tatu kujenga Tanzania yenye nguvu kiuchumi na kijamii ambayo itawezesha kufanikisha umoja wa kiafrika ambao kwake anaamini kuwa ndio mkombozi mkuu wa madhila na changamoto tunazokutana nazo sasa kama taifa la dunia ya tatu.

omarilyas

Well said mkuu,

Nionavyo tuna ng'ambo mbili. Tunahitaji kitu fulani ambacho kutuunganisha. Nitumie daraja. Ningefurahi sana sana kama Zitto na wewe ungeweza ku create that bridge we are looking for. Nakiri chuki ipo hata mimi nina chuki na CCM. Na mtu yeyote mwenye chuki na ccm halafu mwingine anaonekana kuongeza huwa anaonekana yupo upande wa CCM.
 
Zito amekwisha, hafai,kala rushwa , chadema wanakuza bomu. kama hii ndio demokrasia mimi siitaki wala siiwezi. Zitto anakauli nyingi sana zenye utata ambazo hazihitaji phd kummwaga mbali bali upeo wa kwaida tu.

Ila napenda kumwambia Zitto ninaheshimu maamuzi yake, ya kwenda CCM au kuisadia CCM akiwa chadema akijifanya naye ni mwanamapinduzi ndani ya Chadema.
that made only in Tanzania.
 
Kuna Mtu alisema Siasa za Zitto ni miaka 50 ijayo ( Kama sikosei ni FMES)! Rafiki yangu mmoja aliunga mkono hoja ile mimi niliipinga nikiamini watu hawamuelewi Zitto (kama ambavyo baadhi ya watu wanavyotaka tuamini). Lakini sasa naanza kuamini kauli ile
 
Tumechoka kila siku Zitto Zitto hakuna mengine wakuu wangu mbona kuna vitu vingi vya kujadili wakuu wangu
 
Kuna Mtu alisema Siasa za Zitto ni miaka 50 ijayo ( Kama sikosei ni FMES)! Rafiki yangu mmoja aliunga mkono hoja ile mimi niliipinga nikiamini watu hawamuelewi Zitto (kama ambavyo baadhi ya watu wanavyotaka tuamini). Lakini sasa naanza kuamini kauli ile

It is very true, angalia post no.13 nilisema kwa staili yake ya siasa inawezekana kwenye nchi zilizojenga demokrasia ya kweli mapema lakini kwa demokrasia ya Tanzania itamchukua karne nzima.
 
Hodi mlangoni wana JF naomba kuingia jamvini,
nafikiri mmeshanikaribisha naanza kwanza na Salaam kisha nasema Hon. Zitto ni mwana mapinduzi halisi asiyejua kuutumia uanamapinduzi wake is like un-guided missile. Mkiniomba kufafanua nitafafanua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom