To rescue Kenya's from Hunger, Tanzania to build giant grain silos in Mombasa

I can as well say that in order for Tanzanian government to rescue its poor farmers from having their produce rot away, they've opted to secure market in the moneyed neighborhood!.. ✊
Hamuishiwi vituko nyie watu, tunaweza uza hata sudan kusini
 
Yaani mumeonja pesa zetu sasa hamshikiki, sasa mumeamua kuja kabisa Kenya kujenga warehouses na silos ili mupate pesa zaidi? Good news ni kwamba pesa za Kenya haziishi kwa hivyo nyie jengeni tu hapo Mombasa. Masikini lazima atangulie kumpigia tajiri magoti.


Hujui; "Cha mlevi huliwa na mgema"----- "Cha mwenye njaa huliwa na mkulima"??!🤣
 
Yaani mumeonja pesa zetu sasa hamshikiki, sasa mumeamua kuja kabisa Kenya kujenga warehouses na silos ili mupate pesa zaidi? Good news ni kwamba pesa za Kenya haziishi kwa hivyo nyie jengeni tu hapo Mombasa. Masikini lazima atangulie kumpigia tajiri magoti.
Uzuri hapo hatuuzi raw cereals bali finished products
 
I might be an ass, but you are its hole (ass hole). Why wouldn't you question the author of the post for insinuating that by building silos here was meant to save Kenya from hunger?. Was it the same case when you built in a country like South Africa?.
On all countries we set warehouses are sharing 1 thing in common and that's failed state status
 
Hizo warehouses ni za kustore gunia za mahindi ambazo ni raw cereals. Sisi hatuwezi kununua unga ulioshagwa kutoka kwenu. Wacha kuota wewe.
Hahahaha kwa sheria ipi?

Are these look like raw cereals?

Anzeni kujiandaa kisaikolojia

CPB haiuzi raw cereals hata siku 1

Viwanda vyake hivi hapa



DRC & Sudan warehouses

FKAn21uXoAQR8Un.jpeg


FKAp-g6XwAMabuQ.jpeg


FKAp9LyXoAAcAV5.jpeg
 
We've got our bread basket in rift valley and parts of Western and central. For your info the kind of maize we import from outside is for the purposes of suplimenting our deficit. Don't be shocked that a big chunk of that Mombasa grain storage will be value added and find their way to Somalia or Ethiopian markets.

No one can understand that. Coz 3mio kenyans are heavily stricken by hunger.
 
Back
Top Bottom