Eti wewe uonavyo kamanda anamwambiaje mrembo hapo??? Nimeibamba hii picha kwa mshikaji wangu kwenye fb, anasema aliipiga akiwa njombe-iringa. its so nice nikaona tufurahie wote. its natural and original too...hahhaahh i love this snap!!
Watoto wa familia moja hao!!!! Nice pic anyway
sio ndugu jamani, according to mpiga picha aliwauliza nyie ndugu wakakataa...ukiwaangalia harakaharaka unaweza sema ndugu esp kwa kuangalia sura zao, lakini walipoulizwa walikataa so msitumie nature hahahaha
Hao ni ndugu jamani.
ZionTZ.... mwambie huyo aliyepiga ai-email BBC. Kwenye website yao kuna maelezo yote...