To me hivi ni viashiria vya hujuma Air Tanzania

MduduWashawasha

JF-Expert Member
Mar 5, 2008
1,653
601
Habari Wapendwa.Niko hapa nafanya utaratibu wa kusafiri kwenda Mwanza wiki ijayo.Kama mnavyofahamu watumishi wa umma wanapaswa kutumia usafiri wa Shirika la ndege la taifa ATCL.Kuna jambo la kushangaza linatokea na linanifanya nihisi kuwepo kwa uwezekano wa hujuma toka kwa maajent.Nimepigiwa simu na agent hapa anasema hawezi kufanya booking katika mtandao wa ATCL kwa sababu haupatikani.Cha ajabu nimejaribu ku book kwa njia ya website na nimeenda mpaka hatua ya mwisho.nimerudi kwa agent anasema Mfumo wanaotumia ni tofauti na huu wa tovuti.Hili limenifanya nijiulize maswali mengi.Nikakumbuka thread inayohusiana na kwanini ndege mbili za ATCL zimebaki na majibu ambayo mm kwa sababu ya interest na avitaion na ukaribu na marubani na wahandisi wa ndege ninakiamini nilichokipost kule.Cyle za matengenezo ya ndege kama ni A,B,C,D zinajulikana mahitaji ya kila check yanajulikana.Pia kuna matengenezo ya kila siku yanajulikana na vifaa gani vinapaswa kuwepo kwa kila cheki au vinayopaswa kuwepo siku zote.Hivyo haiwezekani inapofika muda wa A,B au C check vifaa viwe havijaagizwa au kulipiwa.Haiwezekani pia Dash Q-Q300 ifanyiwe C checks mara mbili na bado iwe inaleta shida kila ikiruka.Dalili za hujuma au uzembe
 
Habari Wapendwa.Niko hapa nafanya utaratibu wa kusafiri kwenda Mwanza wiki ijayo.Kama mnavyofahamu watumishi wa umma wanapaswa kutumia usafiri wa Shirika la ndege la taifa ATCL.Kuna jambo la kushangaza linatokea na linanifanya nihisi kuwepo kwa uwezekano wa hujuma toka kwa maajent.Nimepigiwa simu na agent hapa anasema hawezi kufanya booking katika mtandao wa ATCL kwa sababu haupatikani.Cha ajabu nimejaribu ku book kwa njia ya website na nimeenda mpaka hatua ya mwisho.nimerudi kwa agent anasema Mfumo wanaotumia ni tofauti na huu wa tovuti.Hili limenifanya nijiulize maswali mengi.Nikakumbuka thread inayohusiana na kwanini ndege mbili za ATCL zimebaki na majibu ambayo mm kwa sababu ya interest na avitaion na ukaribu na marubani na wahandisi wa ndege ninakiamini nilichokipost kule.Cyle za matengenezo ya ndege kama ni A,B,C,D zinajulikana mahitaji ya kila check yanajulikana.Pia kuna matengenezo ya kila siku yanajulikana na vifaa gani vinapaswa kuwepo kwa kila cheki au vinayopaswa kuwepo siku zote.Hivyo haiwezekani inapofika muda wa A,B au C check vifaa viwe havijaagizwa au kulipiwa.Haiwezekani pia Dash Q-Q300 ifanyiwe C checks mara mbili na bado iwe inaleta shida kila ikiruka.Dalili za hujuma au uzembe
Usiumize kichwa kudhani ni hujuma, ulaaniwe ujamaa na aliyeuleta, maana umezalisha mazezeta meeengi sana.
 
Ndege zote(2) Q400 Nzima,tangu spea ije zinaruka zote mbili, leo asubuhi moja imeenda Mwanza/Bukoba na nyingine Kigoma...yenye tatizo ni ile Q300 ya zamani...
Zenyewe zinataka zikae ardhini nyie mnazilazimisha ziruke, siku zikiamua kutua popote naombea ****** awemo ndani kyu dashi miatatu.
 
Watumishi wa umma wanapaswa kutumia ATC kwa ajili ya kikazi tu au hata na safari binafsi?
Na wewe safari yako ni ipi?
 
MduduWashawasha,
Nimejaribu kufanya booking kwa kupitia mtandao wa ATCL Mbona inakubali mkuu?
Inawezekana ni hujuma za Mawakala wa tiketi za ndege. Hili suala ilitakiwa ATCL wafungue Vituo vyao kwa kuwahudumia wateja Kama ilivyokuwa zamani enzi za ATC. Ukizingatia makampuni mengi ya Mawakala wa tiketi za ndege yanamilikiwa na Wahindi na Waarabu; UZALENDO utakuwa mgumu hapa.
 
ATCL wana namba mpya za Customer Care ni free toll

0800110045
 
kuna waraka wa serikali kutoka Katibu Mkuu Kiongozi kwa watumishi wa umma watumie ATCL? naomba namba ya huo waraka ukiweza scan na u-attach hapa
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom