Hasa ukizingatia sumaku siku zote automatically hunasa vitu venye asili ya chumaSiyo kuvutika tu...utanasa kabisa...lol
We huwezi kuacha Umalaya. Umeanza na kusagana na shangazi yako, ukaendea vigogo, sasa yanayofata hayajulikani lkn lazima yatakuwa ni makubwa kuliko yaliyotangulia.mie nataka mnipe namna bora ya kuachana na huu utumwa wewe unataka kunitumia
Katika post yake haielekei kama ulikuja kwa ajili ya kutaka ushauri au msaada, lkn ulikuja zaidi kujionyesha na ukahaba wako. kama shida ni hela na simapenzi kipi kinakushinda kuwajibika kwa kazi ili ukaiingiza hela kama wengine wanvyoiingiza. Umejichagulia bishara ya kuuza mwili wako halafu unaleta ujinga eti ushauriwe namna ya kuacha.nisaidiene namna ya kuachana na huu utumwa si kunishangaa
mmh! labdamachangu
boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa nilipo najihisi kutokuwa normal manake ili nijisikie raha na kutosheka i must get booked, travel at least 30 km and in isolated premise, huko nkifanya nafika hata mara tatu for single night mpenzi wangu karudi ila hanifikishi tena, nampenda ila sjui nifanyeje manake tatizo ni pesa na siyo calories.
Note 1:baada ya kusoma comments 40 wadada tuacheni unafki mnanitukana wakati woote hapa ofisini mnataka mwenye hela.
2;eleweni kuwa kwa gharama yoyote sitomwacha mpenzi wangu nampenda ila ukweli nanyegeka kwa pesa.
kama vile unaweza kunisaidia ntakup-m manake naona kana unaanza kunieleza nachoweza kufanya
Usikute mleta mada ni Bujibuji