G_crisis
JF-Expert Member
- Jun 19, 2011
- 723
- 244
<br /><br />
<br /><br />
upo we mkuu?unaonaje tumpelekee mabete na piwa?manake huyu mnama anaoa kibosho eti.
nipo mkuu!!kama ameandaa ndafu mi nitaenda na vibhata vya kunywea mbege!
<br /><br />
<br /><br />
upo we mkuu?unaonaje tumpelekee mabete na piwa?manake huyu mnama anaoa kibosho eti.
<br />Du..wewe nae!<br />
Ushapakumbuka Useri!<br />
Panda URAFIKI ya saa 10 tunakusubiri na Mzee wa Kunyorosha!
<br />nipo mkuu!!kama ameandaa ndafu mi nitaenda na vibhata vya kunywea mbege!
<br />lazima Mi na Mr. Rocky tuta appear, ila tatizo sisi tutakuwa wenyeji wako na wewe siku hiyo ndo boss, itakuaje? Tutajulikana?
Du..wewe nae!
Ushapakumbuka Useri!
Panda URAFIKI ya saa 10 tunakusubiri na Mzee wa Kunyorosha!
Hapana.....labda RIP pale...umesema shevazi au
Big up mkuu.hongera sana kaka, karibu sana kwenye chama chetu kiitwacho CHAWAUTA (CHAMA CHA WALALA UCHI TANZANIA) Anza kupunguza idadi ya boxer au pajama za kulalia usiku ulizokunazo..pia anza kula au kupenda vyakula jamii ya supusupu hasa kongoro,supu ya samaki au pweza,asali na maziwa kwa ajili ya kazi nzito utakayokuwa unakabilina nayo usiku kasa kipindi hk cha mwanzo wa ndoa.
lazima Mi na Mr. Rocky tuta appear, ila tatizo sisi tutakuwa wenyeji wako na wewe siku hiyo ndo boss, itakuaje? Tutajulikana?
Hapana.....labda RIP pale...
....Sasaaa na mimi mnipetie ride basi nitawasubiri galaxy pale mianzini nitakuwa nastua stua na visichana. Mambo ya sherehe bora uwe umeshajikoki kabisa toka kitaa unaweza kufika eneo la tukio hadithi ikawa tofauti ukabaki macho yamekutoka..Nimepakumbuka sana si unajua tena Mzee wa kunyorosha
na umuhimu wake.
Subirini tu naingia hapo soon.
<br /><br /><br />
<br /><br />
mbula! Halafu tunaichanganya na viroba a.k.a mkojo wa firauni(valuu) au kaschana(konyagi) au piwa na kreti ya banana hapo unaonaje eti mnama?
<br />
<br />
CHONDE CHONDE ULEV N NOUMA