luvcyna
JF-Expert Member
- Feb 24, 2009
- 1,848
- 1,938
Natanguliza mblele shukrani zangu za dhati kwenu wanajamvi....
Mwanzo nilianza hivi; Naomba msaada wa utaratibu katika kuomba uchumba kwa wachaga wa kibosho,.
Ikafata hii; Naombeni msaada katika kupata mdhamini wa ndoa
Sasa ni Hii..; Kwa dhati kabisa nawaalika nyote
Katika yote tukiacha la tatu., Nimepata ushirikiano wa kipekee kabisa tofauti na mategemeo,.maoni yenu ya msingi ndiyo yamenifikisha hapa..NASHUKURUNI SANA...
Sasa leo hii naja tena kwenu nikiwaalika katika kufanya hitimisho ya yale yote niliyokuwa nikiyasumbukia kwa takribani miezi 6 na sasa ni harusi yangu inayotarajiwa kufanyika mnamo tarehe 27/08/2011 kwa ndoa itakayofungwa katika kanisa la K.K.K.T Arusha Mjini kati na baada ya hapo tafrija fupi yani Harusi yenyewe katika ukumbi au wa Family & Friends jirani na Masai Camp, ni matarajio yangu mtaitikia wito huu..
Kwa watakaoweza fika tupatiane PM jamani..
Nawasilisha
Mwanzo nilianza hivi; Naomba msaada wa utaratibu katika kuomba uchumba kwa wachaga wa kibosho,.
Ikafata hii; Naombeni msaada katika kupata mdhamini wa ndoa
Sasa ni Hii..; Kwa dhati kabisa nawaalika nyote
Katika yote tukiacha la tatu., Nimepata ushirikiano wa kipekee kabisa tofauti na mategemeo,.maoni yenu ya msingi ndiyo yamenifikisha hapa..NASHUKURUNI SANA...
Sasa leo hii naja tena kwenu nikiwaalika katika kufanya hitimisho ya yale yote niliyokuwa nikiyasumbukia kwa takribani miezi 6 na sasa ni harusi yangu inayotarajiwa kufanyika mnamo tarehe 27/08/2011 kwa ndoa itakayofungwa katika kanisa la K.K.K.T Arusha Mjini kati na baada ya hapo tafrija fupi yani Harusi yenyewe katika ukumbi au wa Family & Friends jirani na Masai Camp, ni matarajio yangu mtaitikia wito huu..
Kwa watakaoweza fika tupatiane PM jamani..
Nawasilisha