Sio poa mzee wana wamejimaliza muleBody body body
Bedroom remix mmeisikia?
Wamaume famili walifanya vizuri kidogo nahisi kutokana na Management waliyokuwa nayo muda huo, Nature na wenzake walitaka kufanya kazi kishkaji au kisela zaidiHaya makundi baada ya kutengana kundi ambalo lilionekana kufanya vzr ni lile la WANAUME FAMILY.
ILA kundi la WANAUME HALISI hili kwa kuwa lilikuwa linaongozwa na Mkuu wa TEMEKE , KIROBOTO, lilikuwa na Mtaji mkubwa wa Mashabiki kindakindaki kila wimbo kwao ilikuwa oyaoya .
Nature alikuwa mlezi wa Wana , alikuwa anapokea show kama Nature lkn alikuwa hawatupi "WANAE" atakata chake na kuwagawia kilichobaki wenzake na maisha yakasonga .
🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌Bila kuutaja wimbo wa wanaume kazini basi hujawatendea haki Wanaume Famliy
Kundi la TMK Wanaume Halisi liliundwa na:
- Juma Nature
- Inspector
- Luteni Kalama
- Doro
- D Chief
- Kaka Man
- Baba Levo
- Rich One
- Bob Q
- Abdul Mzimu
- Abdul Malipo
Na kundi la TMK Wanaume Family liliundwa na :
- Temba
- Chege
- KR
- YP (RIP)
- Y Dash
- Jebi (RIP)
- Zozo Wida
- Sticko
- Tripple A
- Lukeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Wimbo wa lockdown ukiwa na mtoto mkareeeeeeSio poa mzee wana wamejimaliza mule
😀😀😀 amini....Wimbo wa lockdown ukiwa na mtoto mkareeeeee
Billnas kauaamini....
Nani kaua mule ndani? (Mtazamo wako)
Roselee katisha na yule dogo wa miwani anaflow vizuriBillnas kaua
Yule demu kaua
Young lunya kaua
Country boy nae kamaliza kabisa
Zoë the bosslady in town
Ydash yupo alietutoka ni ypWanaume Family kuna vijana kama wawili hatunao tena(walifariki) majina yamenitoka...
Nadhani YP na YDash....mnaokumbuka mtatujuza zaidi...
KR alibaki Tmk wanaume famili, lkn alikuwa anahudhuria na kushiriki shoo zinazoandaliwa na kundi la wanaume halisiBila kuutaja wimbo wa wanaume kazini basi hujawatendea haki Wanaume Famliy
Kundi la TMK Wanaume Halisi liliundwa na:
- Juma Nature
- Inspector
- Luteni Kalama
- Doro
- D Chief
- Kaka Man
- Baba Levo
- Rich One
- Bob Q
- Abdul Mzimu
- Abdul Malipo
Na kundi la TMK Wanaume Family liliundwa na :
- Temba
- Chege
- KR
- YP (RIP)
- Y Dash
- Jebi (RIP)
- Zozo Wida
- Sticko
- Tripple A
- Lukeza
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa Nyamagana Mwanza,walipanda Nyamagana kushindana ,aikumuona inspectorWasiwasi gani? Hukumsikia kwenye tatu bila?
YP na Jeby .Wanaume Family kuna vijana kama wawili hatunao tena(walifariki) majina yamenitoka...
Nadhani YP na YDash....mnaokumbuka mtatujuza zaidi...