KijanaHuru
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 1,822
- 2,290
Washakji wametoa nyimbo mpya wana ladha ya miaka ya tisini ile ile yaani hamna kitu hapa kwakweli game imebadirika endeleeni kulea familia zenu tu huko mziki wapisheni kidogo vijana wafanye
Sio shabiki sana wa mziki wa kibongo ila kwa hapa mmepotea bora hata msingetoa hii nyimbo
sound mbovu
video mbovu
producer naye hajui kitu
Mlioimba ndio mmepaka tope kabisaaa
nyie ni wakubwa mpo kitambo katika game ya mziki sio watu wakuwashauri mlipaswa muwe watu wakufanya wengine waige kwenu
Rudini studio mkajipange upya nimeharibu tu mb zangu kupakua hii video
Sio shabiki sana wa mziki wa kibongo ila kwa hapa mmepotea bora hata msingetoa hii nyimbo
sound mbovu
video mbovu
producer naye hajui kitu
Mlioimba ndio mmepaka tope kabisaaa
nyie ni wakubwa mpo kitambo katika game ya mziki sio watu wakuwashauri mlipaswa muwe watu wakufanya wengine waige kwenu
Rudini studio mkajipange upya nimeharibu tu mb zangu kupakua hii video