Msitari wa pambizo
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 2,879
- 4,880
Habari za asubuhi wakuu.
Nayaandika haya nikiwa na masikitiko makubwa kwamba hospitali zetu na pharmacy hasa za private kwa kweli bei za dawa ni ghali mno yani kwa sababu mtu unakuwa unamatatizo basi wanafanya kama kukomoa.
Usiku wa jana nilipata mgonjwa hapa nyumbani nikampeleke dispensary moja kwa ajili ya huduma usiku huohuo. Akafanyiwa vipimo na kupewa dawa. Ki ukweli hata kama sizijui dawa lakini bei niliyouziwa ni kama walikua wanakomoa. Yani nimelipia 50,000/= kwa dawa ambazo ingekua mchana ningeenda pharmacy isingezidi 20,000/= maana hapo nyuma nilishawahi kununu dawa na aina hii.
Rai kwa serikali ni kuwa mmeweka masharti magumu ya kupata bima basi fanyeni hata regulation ya bei za dawa, tunaumia huku. Kwa kuwa nyie mnahudumiwa kwa bima mnasahau kabisa kwamba kuna watanzania hatuna bima.
TMDA kama mna mamlaka kisheria ikiwezakana fanyeni regulation ya bei za dawa, tunapigwa huku.
Nayaandika haya nikiwa na masikitiko makubwa kwamba hospitali zetu na pharmacy hasa za private kwa kweli bei za dawa ni ghali mno yani kwa sababu mtu unakuwa unamatatizo basi wanafanya kama kukomoa.
Usiku wa jana nilipata mgonjwa hapa nyumbani nikampeleke dispensary moja kwa ajili ya huduma usiku huohuo. Akafanyiwa vipimo na kupewa dawa. Ki ukweli hata kama sizijui dawa lakini bei niliyouziwa ni kama walikua wanakomoa. Yani nimelipia 50,000/= kwa dawa ambazo ingekua mchana ningeenda pharmacy isingezidi 20,000/= maana hapo nyuma nilishawahi kununu dawa na aina hii.
Rai kwa serikali ni kuwa mmeweka masharti magumu ya kupata bima basi fanyeni hata regulation ya bei za dawa, tunaumia huku. Kwa kuwa nyie mnahudumiwa kwa bima mnasahau kabisa kwamba kuna watanzania hatuna bima.
TMDA kama mna mamlaka kisheria ikiwezakana fanyeni regulation ya bei za dawa, tunapigwa huku.