Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,005
- 9,872
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa matarajio ya Hali Mbaya ya Hewa kwa siku tano zijazo na Athari zinazoweza kutokea. Hali mbaya baharini inaweza kuathiri shughuli za uvuvi.
Imetabiri kuwa na upepo mkali na mawimbi makubwa katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi, kwa jumla ya mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam, Pwani, visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba.
Utabiri huo umetolewa Jumapili, Juni 7, 2020 saa Tisa Alasiri
Imetabiri kuwa na upepo mkali na mawimbi makubwa katika baadhi ya maeneo ya ukanda wa pwani ya bahari ya Hindi, kwa jumla ya mikoa ya Lindi, Mtwara, Tanga, Dar es Salaam, Pwani, visiwa vya Mafia, Unguja na Pemba.
Utabiri huo umetolewa Jumapili, Juni 7, 2020 saa Tisa Alasiri