Anonymeous
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 275
- 484
Katika hali isiyotarajiwa Abiria wa ATCL tuliokuwa tunasafiri kutoka Mwanza kwenda Bukoba asubuhi ya leo Tarehe 22/02/2020 imeshindwa kutua Bukoba kwa sababu ya kilichosemwa na Rubani Mkuu kuwa ni hali ya hewa. Rubani aliamua kuturudisha Mwanza.
Nini kazi ya TMA kushindwa ku update na kulisababishia Shirika hasara ya mafuta na Abiria muda wao kwa gharama. TMA Mwanza wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nini kazi ya TMA kushindwa ku update na kulisababishia Shirika hasara ya mafuta na Abiria muda wao kwa gharama. TMA Mwanza wanatakiwa kuwajibika kwa uzembe huu.
Sent using Jamii Forums mobile app