TLS: Suala la Katiba Mpya lipo mikononi mwa Serikali, muhimu walitazame

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,005
9,872
Dkt. Edward Hosea, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) amesema anafurahi kuona wananchi wanatoa madukuduku yao kuhusu Katiba Mpya, ameiomba Serikali kulitazama jambo hilo.

Amesema ni vizuri kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu kuteua Kamati ya kuratibu suala la Katiba Mpya.

Amesema kamati inaweza kuleta Katiba Mpya au kuboresha Katiba iliyopo kukidhi mahitaji ya karne ya 21.
 
Hapa Chaggadomo watajifanya kama hawaoni vile 🤣🤣🤣🤣

Walimfanyia sana kampeni huyo Hosea eti kwasababu makada wameoleana huko. Kudadeki

Nchi hii bana, kuwa na akili zako timamu uwe huru.
 
Hivi TLS ipo au imeazimishwa kwa Dr Edward Hosea?
Hii siyo TLS tuliyoizoea maana haitoi matamko dhidi ya mambo ya ukiukwaji haki za kiraia na kutetea masuala ya wanachama wake
Huyo Hosea ndio chaguo la CHADEMA kwa nafasi ya TLS kwasababu kaoa kada wa chama🤣🤣🤣

Sasa hivi anaupiga mwingiiiiiiiii kwenye mambo ya katiba.
 
Back
Top Bottom