Mligo Augustino
Senior Member
- Nov 29, 2017
- 126
- 278
Sheria inayounda chama cha mawakili Tanganyika/TLS imetungwa na Bunge. Bunge ni mali ya wananchi/umma. Wakili Kambole anajiongoza vibaya kusema TLS siyo mali ya umma. Labda anachanganya kati ya serikali na umma. Hivi ni vitu viwili tofauti.
From legal point of view TLS ni mali ya umma. Kwamba eti serikali haihusiki kwenye administration ya TLS.Hii ni mipango tu ambayo inaongeleka.
Hii hoja haiondoi ukweli kuwa TLS ni mali umma/wananchi.The law establishing TLS is Tanganyika Law Society Act of 1954(CAP 307).
Mwenye mamlaka ya kuifuta TLS ni Bunge tu. Hata mawakili wakifanya mkutano(AGM) wakaamua kuifuta TLS, hawawezi. Hawana mamlaka.
Note: Bunge la JMT = RAISI +WABUNGE(ibara ya 62(1) ya katiba ya JMT 1977)
Kumbe NGO,Private companies nk zinafutwa na msajiri wa taasisi husika kama BRELA,RITA nk.
Kwa mujibu wa kifungu 4 (1)(b) of the Advocate's Act CAP 341 Mwanasheria Mkuu wa serikali au Naibu wake au DPP ni ex officio wajumbe wa Disciplinary Committee ya mawakili(Advocates' Committe). Je kama TLS siyo ya umma AG(serikali)kwanini ameingizwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mawakili?
Tena kifungu 4(5) of Advocates Act kinasema ilikutengeneza quorum of the committee Mwanasheria mkuu wa serikali lazima AWEPO. Je kwanini bunge linataka mwanasheria mkuu wa serikali(serikali) awe necessary part kwenye kamati ya maadili ya mawakili?
Kifungu cha 11 cha Advocates Act kinasema wazi yakwamba Attorney General ana mamlaka ya kupokea information toka kwa yeyote yule inayohusu wakili na kuipeleka kwenye kamati ya maadili. Je kwa nini bunge lilimpa mamlaka hayo AG ya kinidhamu kama TLS siyo mali ya umma?
Conclusion: The legal findings herein above suggest and entail that TLS ni MALI ya UMMA.
Note: Hii ishu ni ya kisheria. Wanaopinga waje na facts za kisheria. Nilivyoona wanaopinga hawana legal facts. Ni mihemko tu. Ruzuku siyo hoja. Hata NSSF,NHIF,PSPF ni taasisi za umma lakini hazina ruzuku toka serikalini.
From legal point of view TLS ni mali ya umma. Kwamba eti serikali haihusiki kwenye administration ya TLS.Hii ni mipango tu ambayo inaongeleka.
Hii hoja haiondoi ukweli kuwa TLS ni mali umma/wananchi.The law establishing TLS is Tanganyika Law Society Act of 1954(CAP 307).
Mwenye mamlaka ya kuifuta TLS ni Bunge tu. Hata mawakili wakifanya mkutano(AGM) wakaamua kuifuta TLS, hawawezi. Hawana mamlaka.
Note: Bunge la JMT = RAISI +WABUNGE(ibara ya 62(1) ya katiba ya JMT 1977)
Kumbe NGO,Private companies nk zinafutwa na msajiri wa taasisi husika kama BRELA,RITA nk.
Kwa mujibu wa kifungu 4 (1)(b) of the Advocate's Act CAP 341 Mwanasheria Mkuu wa serikali au Naibu wake au DPP ni ex officio wajumbe wa Disciplinary Committee ya mawakili(Advocates' Committe). Je kama TLS siyo ya umma AG(serikali)kwanini ameingizwa kwenye Kamati ya Maadili ya Mawakili?
Tena kifungu 4(5) of Advocates Act kinasema ilikutengeneza quorum of the committee Mwanasheria mkuu wa serikali lazima AWEPO. Je kwanini bunge linataka mwanasheria mkuu wa serikali(serikali) awe necessary part kwenye kamati ya maadili ya mawakili?
Kifungu cha 11 cha Advocates Act kinasema wazi yakwamba Attorney General ana mamlaka ya kupokea information toka kwa yeyote yule inayohusu wakili na kuipeleka kwenye kamati ya maadili. Je kwa nini bunge lilimpa mamlaka hayo AG ya kinidhamu kama TLS siyo mali ya umma?
Conclusion: The legal findings herein above suggest and entail that TLS ni MALI ya UMMA.
Note: Hii ishu ni ya kisheria. Wanaopinga waje na facts za kisheria. Nilivyoona wanaopinga hawana legal facts. Ni mihemko tu. Ruzuku siyo hoja. Hata NSSF,NHIF,PSPF ni taasisi za umma lakini hazina ruzuku toka serikalini.