Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 13,495
- 51,090
Hiki cha leo ni kama kikao cha kupiga stori tu maana as long as the PM is not legit basi hakuna baraza la mawaziriAsante TLS kwa kutoa ufafanuzi huu. Kama nimeelewa vizuri andiko hili, Ina maana kikao Cha leo alichoendesha Mh. Madame President na Baraza la mawaziri baada ya Kula kiapo Ni batili? Yaani null and Void. TLS please fafanua hili.