beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Baraza la Uongozi wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Tanzania Bara limesema kumuondoa Fatma Karume katika Rejista ya Mawakili ni uamuzi uliotolea na Kamati ya Mawakili na sio Kamati ya Maadili
TLS imesema ni kosa kuwahusisha Wajumbe wa Kamati ya Maadili katika uamuzi huo na kusambaza majina yao mitandaoni kwani Kamati hizo mbili zina Mamlaka tofauti
Pia soma:
> Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili
> Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)
TLS imesema ni kosa kuwahusisha Wajumbe wa Kamati ya Maadili katika uamuzi huo na kusambaza majina yao mitandaoni kwani Kamati hizo mbili zina Mamlaka tofauti
Pia soma:
> Fatma Karume aondolewa kwenye orodha ya mawakili (Permanent removal), akutwa na hatia ya kukiuka maadili
> Fatma Karume asimamishwa kufanya kazi za Uwakili Tanzania Bara kwa kosa la kuishambulia ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG)