Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,585
- 22,184
Kwahiyo alioa mchaga baada ya kuwa rais wa TLS au alioa mchaga ili awe rais wa TLS?Hapa makamanda uchwara wote midomo ya kunywea mbege na kuvuta bangi iko chini kwa Aibu.
Huyo mstaafu Rais wa TLS ameoa mchagga, sasa sijui mchagga Ni kada wa chama cha mbowe🤣🤣🤣
Wafuasi wote walipewa AMRI MOJA ya kumpigia kampeni, sasa wore kinyaaaaa.
Mimi nikiwaambia vijana punguzeni umsukule, vichwa kama maboga tu mnafugia nywele🤣🤣🤣🤣
View attachment 2105599
JF imekosa GT's imeingiliwa na wabakaji hoja.