Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,708
- 5,711
tindo Tlp wamedadavua vizuri sana. Na ndio ukweli unaofanya JPM akubalike.Ninavyokujua najua umeunga mkono bila hata kusoma. Kitendo cha kuona tu TLP, na neno Magufuli, huku ukijua TLP ni mchepuko wa ccm m, usingejisumbua kusoma zaidi ya kuunga mkono hoja.