Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Leo asubuhi kapata breakfast. Pongezeni pia
Leo asubuhi kapata breakfast. Pongezeni pia
Wana Mwenyekiti wa Parole Tanzania. Upo hapo?Hawo TLP walikuwa wana wabunge wangapi kwenye Bunge lililopita?
Sio kila mzee ana BUSARA, Hata vichaa nao huwa wanazeeka
Na huko hawa magaidi ndiyo wanajiokotea kura bwelele, mtaji wa CCM ni ujinga na umasikini
Mzee wa kiraracha anapiga mzinga kimtindo hapa anajua kusifia kunalipa sana nji hii.Hongera Rais Magufuli na Serikali yako kutufikisha wananchi wako kwenye Kipato cha kati ( MICs ) kwa GNI per head kati ya $1,036 & $ 4,045,Lengo lilikuwa ni 2025 wewe umelifikia 2020,Hongera Benki ya Dunia kwa kusimamia ukweli.
Hongera Rais Magufuli na Serikali yako kutufikisha wananchi wako kwenye Kipato cha kati ( MICs ) kwa GNI per head kati ya $1,036 & $ 4,045,Lengo lilikuwa ni 2025 wewe umelifikia 2020,Hongera Benki ya Dunia kwa kusimamia ukweli.
Hongera Rais Magufuli na Serikali yako kutufikisha wananchi wako kwenye Kipato cha kati ( MICs ) kwa GNI per head kati ya $1,036 & $ 4,045,Lengo lilikuwa ni 2025 wewe umelifikia 2020,Hongera Benki ya Dunia kwa kusimamia ukweli.
Wao kamwe hawawezi sema kuwa ni uchumi wa kati wa chini!!! Wazee wa propaganda!!! Ktk miaka mitano wameongeza dola 30,toka 1060-1036!!,matangazo mengiii, eti tumewahi, wao walikusudia GNI, ya dola 3000!!hadi 2025!!hayo hawasemi ukweli huo!!Hivi "Lower middle Income" ndo "Uchumi wa kati"? Mimi na kidhungu wapi na wapi!??
Hivi "Lower middle Income" ndo "Uchumi wa kati"? Mimi na kidhungu wapi na wapi!??