Ze Bulldozer
JF-Expert Member
- Jun 12, 2020
- 1,002
- 523
Hongera Rais Magufuli na Serikali yako kutufikisha wananchi wako kwenye Kipato cha kati ( MICs ) kwa GNI per head kati ya $1,036 & $ 4,045,Lengo lilikuwa ni 2025 wewe umelifikia 2020,Hongera Benki ya Dunia kwa kusimamia ukweli.