Mwanahabari wa Taifa
JF-Expert Member
- May 27, 2020
- 1,450
- 799
Ndugu Wananchi wenzetu,
Mpaka Rais Samia anaingia madarakani zaidi ya watoto wa masikini elfu 10 hawakupewa mikopo,
Leo tayari ameongeza Tshs 106BL sawa na 23% yaani kutoka Tshs 464BL FY2020/21 hadi 570BL FY2021/22
Kwa Sasa,kila mtoto wa masikini aliyefaulu kwenda chuo kikuu kupatiwa mkopo bila kujali historia ya alikosomea shule za chini,
Lakini pia amefuta kabisa ile 6% ya ada ya thamani ya mkopo ( Value Retention Fee-VRF ) kwenye mikopo hiyo na Sasa wanufaika watakatwa 9% ( single digits) FY2021/22 kutoka 15% ya FY2020/21.
Take home za watu hawa zimepaa kwa 6% ,hongereni Sana Mhe Rais.
TLP ni akina nani hata tusione haya na kupongeza na hii ndio maana ya Siasa safi.
Mama chapa kazi tupo na wewe.
TLP Tanzania kwanza,
" Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni mama deserves better Wazalendo wote tumtie moyo, mpaka mwaka 2030 tutashuhudia maajabu, Tuombe uzima Tu"